Wanawake jitahidini usafi sehemu za Ikulu mnaaibisha

Kazakuku

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2011
Posts
354
Reaction score
110
Habari zenu ndugu wana JF,

Hakika naandika hili jambo nikiwa nimekwazika sana, hivi inakuaje mwanamke wa ki analog unakuwa mchafu sehemu ya papuchi, dah maana kwa nilichokutana nacho leo sina hata hamu ya kuchepuka tena.

Nimekutana na kamwanamke ukikaona kazuri kumbe ndani dah ni aibu tupu, kamenilia vijisent vyangu mwisho wa siku nakakuta na hali hii, nimesikitika sana bora mwanaume anukie ubeberu siyo mwanamke anukie ukekeru, badilikeni nasema hivi now ni mwisho kuchepuka bora nibaki njia kuu tu.

Nawasilisha

------------


 
QUOTwewe hakuna mwanaume msafi ila kuna mwanamke msafi,mwanaume kuwa msafi sana unakuwa juma lokole sasa au James bhana[/QUOTE]
 
Pole sana mkuu, ila unauhakika nae kajua tatizo lake pia?... au umeishia kumnunia tu
 
Aksante ndugu yangu,nmejikuta nmenuna tu,nkaanza kukumbuka miamala ya mpesa nliyokuwa natuma aiqwiiiiiiiiiiiiii

pole sana mkuu, ila unauhakika nae kajua tatizo lake pia?... au umeishia kumnunia tu
 
Atachukia bhana wewe unaweza kumwambia?namuacha kimya kimya maana sina mzuka nae tena kila nkikumbuka kale ka unyunyu babu shalo analala kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23] et kaunyunyu.. ila kama unae wife acha tu kuchepuka mkuu, alikuletea kaunyunyu ili akukumbushe kubaki njia kuu
 
Aksante ndugu yangu,nmejikuta nmenuna tu,nkaanza kukumbuka miamala ya mpesa nliyokuwa natuma aiqwiiiiiiiiiiiiii
Dah!, aisee c mchezoo. Yani unajikuta una-overexpect makubwa kumbe mwenzio anachukulia poa tu loh![emoji34]
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…