Wanawake kujimilikisha watoto, inatokea automatically au makusudi?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Hata lugha na mila wanajua zaidi za upande wa mama kuliko za baba.
Tena wanyakyusa na wachaga ni soo kwenye medani hiyo
 
Watoto hawaporwi ila mapenzi na malezi bora ya wamama ndio huwaleta karibu karibu. Watoto watakuwaje karibu na baba anayelala bar? Akirudi nyumbani watoto wanajificha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…