Wanawake kupenda kuhudumiwa na wanaume madaktari

Majighu2015

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
2,937
Reaction score
3,959
Kuna kautafiti kamefanywa eti wanawake wanapenda sana kuhudumiwa na madaktari wanaume sababu ni wapole na wanawajali. Je wadada/wanawake hii ni kweli mnapenda kuhudumiwa na madaktari wanaume?? **** sababu zaidi ya hiyo hapo juu??
Vipi kuhusu wanaume,ungependa uhudumiwe na Dr. KE/ME?
 
Wengi tutapita kwasababu mashiko nimadogo mnoooo[emoji108] [emoji108] [emoji108]
 
Offcoz hata sisi daktari wa kike anatoa huduma nzuri sana

Tender care...
 
Daktari wa kiume wako poa sana, wanajali, wanasikiza kwa makini....
Kuna siku nimeonwa ni doctor mwanamke pambafff sana ananisikiliza huku anaongea na simu tena habari za vikoba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…