Mimi ipo hata wakuiulizia simpati ila ninaye naye muwaza,Katibu!eeh we woooooote waliokuomba umewapa....?<br />
mwenyekt jaman mbona ivi?<br />
kila mtu akikuomba ukampa basi utakuwa hauna tofaut na wanyama....UTASH NEHI<br />
mnapeana kwa kikomo kwa kuzingatia kanuni na maadili husika siyo kuchojoana tu jaman...<br />
kwan kuna MTU ANAKUNYIMA/ANAKUZUNGUSHA?<br />
Pole mwaya!!!!
Kwahiyo kila anaeomba apewe??
Kwahiyo kila anaeomba apewe??
si ndo hapo sasa,,,,,,,,
Nilham rashid!!unanifurahishaga sana niwasaa sina tu!
Ndiyo....!
si ndo hapo sasa,,,,,,,,
Na wakati mwingine mnafika mpaka kwenye anga za ku do, lakini demu bado atajishauwa kuwa hataki.Kweli mtu anakuona na anakupenda anakwambia nimekupenda bibie lakini nyie mnakataa kwa nini??wakati kitu unachoombwa ni mapenzi na unouwezo wakusema njoo ujinome lakini mhmm!!utanizungusha au kunijibu kimkato wakati mali unazo!!Huo ni uchoyo umewakaa sivingine!
Hivyohivuo ndofuraha yangu unaweza kuzidisha ukanibore au nikachanganyikiwa zaidi!!
Na wakati mwingine mnafika mpaka kwenye anga za ku do, lakini demu bado atajishauwa kuwa hataki.
Mimi ipo hata wakuiulizia simpati ila ninaye naye muwaza,Katibu!