Wanawake kusema ukweli nyie ni wachoyo na vitu vyenu!!

uwiii hakuna msichana anayetaka kuwa soko kuu...
ila baadhi wanafanya hayo ajili shida.....na wengine ni life choice...

mmhhh lakini ka mtu umeolewa mmhhh 24/7 availability ...
but have to go both ways....

hapa ntahitaji mwongozo toka kwa kijana wangu TF.....
 
hapa ntahitaji mwongozo toka kwa kijana wangu TF.....

Doh!!!! Na mimi nimekwama nimejaribu kuvaa miwani lakini bado sioni vizuri ngoja akirudi atujuze vizuri maana niliishasoma between the lines ambayo ni hatari sana
 

Pole NILHAM ila sikubadrisha kwa makusudi handwrite ilibadrika kutokana na nilikuwa natumia mobile nisamehe bure!!Ila nakuomba usinifanyie hivyo nimetahadhalisha katika avatar yangu plse naunacho nifurahisha naomba iwe PM hapa kweupe mno!!!
 
ok ur welcome,,,,,
pole nilham ila sikubadrisha kwa makusudi handwrite ilibadrika kutokana na nilikuwa natumia mobile nisamehe bure!!ila nakuomba usinifanyie hivyo nimetahadhalisha katika avatar yangu plse naunacho nifurahisha naomba iwe pm hapa kweupe mno!!!
 
Hata wanyama wanaafadhali maana wao nimpaka wakati wa heat tu
 
Hah jamani utagawia kila mtu anayekuomba?? Hiyo ngumu hata wanyama nao hawagawi hivyo bwana. Hii kitu inaheshima zake na haitakiwi kuonwa na kila mtu ndo maana inavalishwa nguo kibao ili isionekane na kila mtu sasa iweje ugawe tu kama karanga??
 
hapa ntahitaji mwongozo toka kwa kijana wangu TF.....

mmmhh kwakweli nini tu ambacho hujaelewa hapo.....???
hiyo sentensi imejieleza vizuri tu...

nway nilimaanisha kama ni wanandoa
mwanamke apate haki yake saa anayojisikia
na mwanaume apate haki yake saa anayotaka..

sikumaanisha mbele na nyuma aaaaa....

Hopeful umeelewa kidogo sasa lol😛arty:
 
Doh!!!! Na mimi nimekwama nimejaribu kuvaa miwani lakini bado sioni vizuri ngoja akirudi atujuze vizuri maana niliishasoma between the lines ambayo ni hatari sana

mmmhh Tf
uliona nini between the line....???
 
Hah jamani utagawia kila mtu anayekuomba?? Hiyo ngumu hata wanyama nao hawagawi hivyo bwana. Hii kitu inaheshima zake na haitakiwi kuonwa na kila mtu ndo maana inavalishwa nguo kibao ili isionekane na kila mtu sasa iweje ugawe tu kama karanga??

wape wape hao. Ukigawa unaambiwa kicheche.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…