Wakuu hodi humu,
Naomba kufahamu ni nini hasa kinasababisha wanawake (baadhi) kutokwa na ute mwingi sana wakati wa ku~do?
Mimi ni Mvulana na kitu hiki huwa kinaniboa sana tunapo~do kwani huwa unatoka mwingi sana na huwa na kama maziwa ya mtindi yaliyo ganda.
Wenye elimu kuhusu hii kitu naomba ushauri wenu Je ni ugonjwa au ni hali ya kawaida tu?
mkuu nini tena hizo mambo
Si umesema bado ni mvulana brother? Mi nilivyokuwa mvulana kama wewe, nilikuwa naangalia hizo badala ya kitties.
ila wanawake wanadhalilishwa sana humu
ila wanawake wanadhalilishwa sana humu