Wanawake kuweni wasafi

Jamaa acha kumzodoa binti wa watu,ulijamba kwa vile ulikuwa na earphones hukujua maana njiani ulikula mayai ya kuchemsha na mahindi.
,, πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ni kweli hawa wanaume ni wazuri sana wasura ila ukishashiriki nao tendo kama sio unakinga umeisha mara UTI,ghono,kila aina anayounaweza hatarisha kizazi Kwa magonjwa ya azinaa
 
Yaani hao hadi natapikaga na huko chini akipanua miguu yake yaani wanavaaga vigauni Sasa ngoja wajiachie kama mnapiga story haidi kero[emoji27][emoji2961][emoji2961][emoji2961][emoji2961][emoji2961]
[emoji848][emoji848][emoji848]
 
....hapana ...magonjwa sehemu za siri yanaonekana haraka kwa wanaume kuliko wanawake.....demu wako/mkeo anaweza kuwa anaumwa gono we usjue hadi aanza ekuoza wakati wewe siku ya pili tu tayari....ni hivyo kwa amagonjwa yote ya chini....wanawake wanakaa nayo mda hadi wajue....tofauti na sisi madume....kojo linaziba dudu fasta ukiambukizwa...
 
Ni kweli hawa wanaume ni wazuri sana wasura ila ukishashiriki nao tendo kama sio unakinga umeisha mara UTI,ghono,kila aina anayounaweza hatarisha kizazi Kwa magonjwa ya azinaa
..kama mwanaume humjui vema na unataka akutie basi hakikisha anatumia kinga..sema siku hizi na nyie mademu mnataka utelezi wa joto la nyama kwa nyama......hampendi ndom...hii nayo shida....
 
Jamaniiiiiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
..no....,magonjwa ya siri yanaonekana haraka kwa wanaume kuliko wanawake....wewe hujui..mtafte mwanaume aliyeugua gono ..atakwambia dudu liliziba punde tu baada ya kukwaa gono..lakini kwa demu...hatojua hadi k lake lianze kuoza na kutoa harufu mbaya.....
 
Mimi Pana siku nimekaa siti moja binti mmoja wa Kichina sijui kala nini asubhi pumzi ya kinywa aisee lisaa moja toka Mbeya to Dar lilikua gumu sana kwangu
 
Afya ya kinywa ni tatizo sana siku hizi watu wanatema hatari usiombe aongee na simu mpo kwenye basi unaomba angalau basi liingie kuchimba dawa huku ukiomba anywe angalau chai ili akate harufu.
Watu wanatema sana harufu ya kinywa aisee.
Pia usiombe ukutane na wale wavaa carwash kashika Bomba la daladala kwapa chafu halafu linatema perfume.
Ndo maana watu uamua kununua magari binafsi kwa kero hizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…