Window7
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 4,098
- 3,038
Salam kwenu wana chit-chat.
Siku hizi kuna tabia ambayo mimi kama mwanaume mtafutaji siifurahii.
Wanawake hawatupigi mizinga kama zamani.
Wengi tulishazoea haipiti week baby naomba hela ya kodi imeisha, baby nataka kwenda saloon, baby twende Z'bar weekend, baby naomba hela ya manicure..
Yaani mlikua mnatupa hamasa ya kutafuta.
Ila wanawake kipindi hiki wako kimya kwenye suala la hela, yaani haombi hela hata pale anapokua na tatizo la kweli ataanzia mbali na samahani nyingii. Kamooon ladies.
Tuombeni hela! Hayo mambo ya hali ngumu nyie hayawahusu...
Tuombeni helaa.. Jamani tuombeni helaa mtupe nguvu ya kutafuta. [emoji7]
Siku hizi kuna tabia ambayo mimi kama mwanaume mtafutaji siifurahii.
Wanawake hawatupigi mizinga kama zamani.
Wengi tulishazoea haipiti week baby naomba hela ya kodi imeisha, baby nataka kwenda saloon, baby twende Z'bar weekend, baby naomba hela ya manicure..
Yaani mlikua mnatupa hamasa ya kutafuta.
Ila wanawake kipindi hiki wako kimya kwenye suala la hela, yaani haombi hela hata pale anapokua na tatizo la kweli ataanzia mbali na samahani nyingii. Kamooon ladies.
Tuombeni hela! Hayo mambo ya hali ngumu nyie hayawahusu...
Tuombeni helaa.. Jamani tuombeni helaa mtupe nguvu ya kutafuta. [emoji7]