Wanawake kwa nini?

Wanawake kwa nini?

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,437
Reaction score
1,027
Inatokea mwanaume uliyezaa naye alikutosa na kukutenda vibaya enzi za uhusiano wenu.Mwisho wa yote mnaachana na anakuacha na ujauzito.unamlea mtoto peke yako na anakua vizuri.Tatizo linakuja ukubwani,mtoto anataka kumjua baba yake,kwa nini wanawake mnakuwa mnabana sana,mnaweka password kwa mtoto hata ikibidi kumdanganya babako kafa,why this?
 
Si Wanawake wote wanaofanya hivyo. Wengi tu hutoa ushirikiano wa hali ya juu ili mtoto/watoto wamfahamu Baba yao ili kujenga uhusiano wa karibu kati ya Baba na Mtoto/Watoto.
 
Inatokea mwanaume uliyezaa naye alikutosa na kukutenda vibaya enzi za uhusiano wenu.Mwisho wa yote mnaachana na anakuacha na ujauzito.unamlea mtoto peke yako na anakua vizuri.Tatizo linakuja ukubwani,mtoto anataka kumjua baba yake,kwa nini wanawake mnakuwa mnabana sana,mnaweka password kwa mtoto hata ikibidi kumdanganya babako kafa,why this?

...😛opcorn: ?😛op2: ...popcorns!
 
Two Possible Reasons:
The woman was hurt , (understandably so) and hence she is being spiteful and vengeful

Second:
Why rock the boat, by introducing the child to an unknown absent father whom for all you know might still be an irresponsible looser?Mwanume kama huyo may eventually end up causing the child more heartache, than the pain he might have had of not having a father !
 
hata mimi ningekuwa mwanamke na nitendewe hivyo, naapa mtoto hatomjua baba yake...ila kwa kuwa ni mwanaume, nachukia sana tabia ya kutelekeza watoto.
 
Inatokea mwanaume uliyezaa naye alikutosa na kukutenda vibaya enzi za uhusiano wenu.Mwisho wa yote mnaachana na anakuacha na ujauzito.unamlea mtoto peke yako na anakua vizuri.Tatizo linakuja ukubwani,mtoto anataka kumjua baba yake,kwa nini wanawake mnakuwa mnabana sana,mnaweka password kwa mtoto hata ikibidi kumdanganya babako kafa,why this?

ikinitokea hiyo huyo baba hatomuona mtoto labda niwe nimekufa.
 
Si uliumkana tangu ujauzito haina haja ya kukujua maana haitasaidi kitu
 
ikinitokea hiyo huyo baba hatomuona mtoto labda niwe nimekufa.
But huo ugomvi ni kati ya baba na mama tu,mtoto yeyote lazima ateswe na duku duku la kumjua baba,hawezi ku take for granted easily.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
But huo ugomvi ni kati ya baba na mama tu,mtoto yeyote lazima ateswe na duku duku la kumjua baba,hawezi ku take for granted easily.

hakuna haja ya mwanangu kuwa na baba kama pambo.
Wanaume wengi wanakimbia majukumu yao halafu mtoto akishakua wanaleta vifua mbele.
Hawezi kuniacha niteseke kwenye malezi. Nitahakikisha najenga chuki hadi mtoto mwenyewe hatotaka kumsikia baba yake.
 
Mmmh kweli! 4 mi czan na ctazan kwamba m2 unajua mtoto ni wako haraf umkatae baadae unataka akufahamu, c busara, c haki kwa mama na mtoto kufanyiwa hvy! Cha msing ni kumpotezea tu, kwanza mtoto ni dhahabu kwa nn umkatae harafu baadae umkubali?
 
...Hivi, Mfano baada ya kumaliza Chuo, mlisitisha mahusiano na Girlfriend wako.
Baada ya Miezi tisa, anakujulisha amejifungua 'mtoto wako!'

Wakati huo, wewe tayari una mahusiano na mwanamke mwingine ambaye una mpango wa kuoana nae.
Unahoji kwanini hukuambiwa miezi yote tisa ya ujauzito, anakwambia nae hakuwa na uhakika!

Unaliweka pending suala hilo, mwanamke nae anakata mawasiliano.
Inapita miaka, halafu siku ya siku unafukua kesi za zamani kuulizia yule mtoto, kwani sasa kuna DNA, etc....
Mwanamke anakuwa mkali, anasema "wewe si ulimkataa? hutakuja kumwona tena mtoto!"

Mnaichukuliaje kesi hii?
 
Kwa mawazo yangu na mtizamo wangu, ni afadhali mtoto akaujua ukweli tu, kwamba fulani ndo baba yake,
pale apatapo akili za kujua mema na mabaya, na akili ya kujua kwamba kuna baba.

Upendo huwa unajengwa na ukaribu na uwepo wa mtu mwenyewe, haijalishi hata kama baba amekuzaa mara tatu, kama hana mapenzi na mtoto,
hawajibiki kwa mtoto, hapatejengeka upendo kati ya baba na mtoto. Mtoto mwenyewe ataona tu huyu ni baba kwa sababu alishiriki kunizaa lakini,
yule ambaye anamlea, na kumtunza pengine na kumsomesha na kumuonesha upendo huyo ndio atakuwa baba maishani mwake.

Tena usishangae mtoto akakutaa wewe mwenyewe kwa midomo yake, kwamba na mtambua huyu baba/mama/babu/mjomba nk nk, aliyenilea,
anakuuliza sasa wewe unasema we ni baba yangu kwa mpango gani?
Tukumbuke tu kwamba watoto, kuna wakati watakua wakubwa na wenye akili ya kujua mema na mabaya, na watajua kuchuja ipi ngano na ipi pumba. Kwa hiyo ni vema kuwa huru nafsini mwako, nakutojenga hatia nyingine kwa mtoto ako hasa pale atakapogundua kwamba ulimdanganya baba yake hayupo au ameariki.

Dah mi naona hakuna haja ya kubishana na ujinga wa mtu hapa duniani, kama anaikataa damu yake, namuacha itamtafuta/ataitafuta mwenyewe siku moja. Na mbaya zaidi wakati anaitafuta unakuta na yenyewe inamkataaa........
Mungu atusaidie tuponywe na hasira na majereha tuyapatayo katika mapito ya kukataliwa na watoto wetu, atupe neema ya kusamehe,
ili watoto wetu wawe na furaha na amani, na ikiwezekana kujijengea heshima nzuri mbele ya mtoto wako.

Sio vizuri mtoto anakua na kidonda moyoni, eti mama alisema baba yangu amekufa kumbe hajafa......
Atakudai kaburi lake na ndugu zake sijui utampeleka wapi......
Tujifunze tu kuushusha moyo na kurahisisha maisha......
Na huyo anayekataa watoto/mtoto malipo yake ni hapa hapa duniani wala hayasubiri siku ya hukumu.
 
Kwa mawazo yangu na mtizamo wangu, ni afadhali mtoto akaujua ukweli tu, kwamba fulani ndo baba yake,
pale apatapo akili za kujua mema na mabaya, na akili ya kujua kwamba kuna baba.

Upendo huwa unajengwa na ukaribu na uwepo wa mtu mwenyewe, haijalishi hata kama baba amekuzaa mara tatu, kama hana mapenzi na mtoto,
hawajibiki kwa mtoto, hapatejengeka upendo kati ya baba na mtoto. Mtoto mwenyewe ataona tu huyu ni baba kwa sababu alishiriki kunizaa lakini,
yule ambaye anamlea, na kumtunza pengine na kumsomesha na kumuonesha upendo huyo ndio atakuwa baba maishani mwake.

Tena usishangae mtoto akakutaa wewe mwenyewe kwa midomo yake, kwamba na mtambua huyu baba/mama/babu/mjomba nk nk, aliyenilea,
anakuuliza sasa wewe unasema we ni baba yangu kwa mpango gani?
Tukumbuke tu kwamba watoto, kuna wakati watakua wakubwa na wenye akili ya kujua mema na mabaya, na watajua kuchuja ipi ngano na ipi pumba. Kwa hiyo ni vema kuwa huru nafsini mwako, nakutojenga hatia nyingine kwa mtoto ako hasa pale atakapogundua kwamba ulimdanganya baba yake hayupo au ameariki.

Dah mi naona hakuna haja ya kubishana na ujinga wa mtu hapa duniani, kama anaikataa damu yake, namuacha itamtafuta/ataitafuta mwenyewe siku moja. Na mbaya zaidi wakati anaitafuta unakuta na yenyewe inamkataaa........
Mungu atusaidie tuponywe na hasira na majereha tuyapatayo katika mapito ya kukataliwa na watoto wetu, atupe neema ya kusamehe,
ili watoto wetu wawe na furaha na amani, na ikiwezekana kujijengea heshima nzuri mbele ya mtoto wako.

Sio vizuri mtoto anakua na kidonda moyoni, eti mama alisema baba yangu amekufa kumbe hajafa......
Atakudai kaburi lake na ndugu zake sijui utampeleka wapi......
Tujifunze tu kuushusha moyo na kurahisisha maisha......
Na huyo anayekataa watoto/mtoto malipo yake ni hapa hapa duniani wala hayasubiri siku ya hukumu.
Mungu akubariki na akuzidishie busara ulizonazo
 
...haki ya mungu tena, ana busara kweli huyu LD jamani.

Mheshimiwa Mbu,
Bado unapenda mwanya eeh..........
Hebu njoo kule tuongee habari za mwanya aisee........
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Jamani tuangalie kwa nini wanaume wanakataa watoto au ujauzito.
1. wanawake tujaribu kuwa fair, kwamba mwanaume akilala na wewe siyo tija akuoe au uishi nae.
2. Kubeba ujauzito haukupi guarantee ya wewe kuishi na huyo bwana au kumfanya mwanaume abadili msimamo wake kuhusu wewe.
3. Mwenzako alihitaji muda wa kukujua vizuri, wewe umeenda kutumbukiza hiyo mimba na yeye hayuko tayari, akisema ukweli wake unalalama eti amekataa mtoto.

Nafikiri wanaume wabadilike kulinda matamshi yao nyakati kama hizi. Kama umeambiwa mwenzako ana ujauzito mwambie ukweli sitakuoa ila mama jifungue tu kwanza mambo mengine yafuate. Ukisema wewe hiyo mimba ni yako, na mtoto lea mwenyewe usinipe hata taarifa za kuzaliwa kwake. Hapo ndiyo wanawake wanakuwa na ghadhabu. (wanaume linda midomo inaumba).

Wanawake: Kumbuka kwamba wewe uligombana na baba, mtoto ana haki ya kujua nani babake. Inapotokea hiyo lazima huyo mtoto umpe jibu sahihi acha kupindisha maneno. Unapodanganya mtoto ujue kwamba anatake note, akigundua hatakuamini tena.

Kama kweli mzazi kafariki mpe ushirikiano, mpleke hata kwa bibi yake au ndugu wa mume akakutane naye. Mambo mengine ni ya kusamehe. Ila chanzo cha wanaume kukataa watoto vyanzo ni wanawake kuwa luba wa kuolewa wakidhani eti kuzaa ndiyo mwanaume ananasa.

Watch out gils ambao hamjaingia kwenye ndoa mwanaume hashikwi kwa mimba ni matendo yako na vile unavyobehave, wanawake nyenyekea hizo NGO za uongo na kweli eti GENDER ni ujinga mtupu. Hata kwenye biblia imeandikwa, Sara hakuwahi kumuita mumewe Ibrahim (BWANA). wanaume ni viumbe dhaifu sana, kuna jinsi ukitune tu anaoa bila hata kumlazimisha wala kushika fimbo. I wish ningerudi usichana leo, NI NOMA wadada. Ebu tubadilike.



CD
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Jamani tuangalie kwa nini wanaume wanakataa watoto au ujauzito.
1. wanawake tujaribu kuwa fair, kwamba mwanaume akilala na wewe siyo tija akuoe au uishi nae.
2. Kubeba ujauzito haukupi guarantee ya wewe kuishi na huyo bwana au kumfanya mwanaume abadili msimamo wake kuhusu wewe.
3. Mwenzako alihitaji muda wa kukujua vizuri, wewe umeenda kutumbukiza hiyo mimba na yeye hayuko tayari, akisema ukweli wake unalalama eti amekataa mtoto.

Nafikiri wanaume wabadilike kulinda matamshi yao nyakati kama hizi. Kama umeambiwa mwenzako ana ujauzito mwambie ukweli sitakuoa ila mama jifungue tu kwanza mambo mengine yafuate. Ukisema wewe hiyo mimba ni yako, na mtoto lea mwenyewe usinipe hata taarifa za kuzaliwa kwake. Hapo ndiyo wanawake wanakuwa na ghadhabu. (wanaume linda midomo inaumba).

Wanawake: Kumbuka kwamba wewe uligombana na baba, mtoto ana haki ya kujua nani babake. Inapotokea hiyo lazima huyo mtoto umpe jibu sahihi acha kupindisha maneno. Unapodanganya mtoto ujue kwamba anatake note, akigundua hatakuamini tena.

Kama kweli mzazi kafariki mpe ushirikiano, mpleke hata kwa bibi yake au ndugu wa mume akakutane naye. Mambo mengine ni ya kusamehe. Ila chanzo cha wanaume kukataa watoto vyanzo ni wanawake kuwa luba wa kuolewa wakidhani eti kuzaa ndiyo mwanaume ananasa.

Watch out gils ambao hamjaingia kwenye ndoa mwanaume hashikwi kwa mimba ni matendo yako na vile unavyobehave, wanawake nyenyekea hizo NGO za uongo na kweli eti GENDER ni ujinga mtupu. Hata kwenye biblia imeandikwa, Sara hakuwahi kumuita mumewe Ibrahim (BWANA). wanaume ni viumbe dhaifu sana, kuna jinsi ukitune tu anaoa bila hata kumlazimisha wala kushika fimbo. I wish ningerudi usichana leo, NI NOMA wadada. Ebu tubadilike.



CD


woww, Caroline Danzi, am impressed!
 
Back
Top Bottom