Wanawake kwa nini?

Mheshimiwa Mbu,
Bado unapenda mwanya eeh..........
Hebu njoo kule tuongee habari za mwanya aisee........

lol!...haya, tangulia naja!


Haki ya nani Caroline Danzi na LD nimezipenda busara zenu hapa.
I wish kina mama wengi wangekuwa na busara hizi.



 
lol!...haya, tangulia naja!


Haki ya nani Caroline Danzi na LD nimezipenda busara zenu hapa.
I wish kina mama wengi wangekuwa na busara hizi.




Tunashukuru kwa kutuona hivyo Mheshimiwa,
Nadhani PM zitaongezeka sasa, manake zilikuwa zimepungua.
 

Wewe dada huwa nasema unabusara sana kwakweli yaani mabadiko yako yote
yamejaa hekima na huwa hukurupuki. Eniwei, hata maneno yakuongeza hapa
sina, umemaliza kila kitu.
 
Tunashukuru kwa kutuona hivyo Mheshimiwa,
Nadhani PM zitaongezeka sasa, manake zilikuwa zimepungua.

PM za kutaka ushauri ama za ............ ???????? LOL
 
Too much busara,thumb up!
 
Tunashukuru kwa kutuona hivyo Mheshimiwa,
Nadhani PM zitaongezeka sasa, manake zilikuwa zimepungua.

Hahahaha lol, angalia na mimi nimekupm huko
 



sasa unauliza nin wewe?
mbona km ushajijibu?
soma fresh maandish yako then jichagulie jibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…