Wanawake, kwanini mnavaa nguo za kubana?

Wanawake, kwanini mnavaa nguo za kubana?

Mzee23

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2014
Posts
1,731
Reaction score
3,628
Kwanini mmeamua kuvaa nguo za kubana tu?!

Ndilo dukuduku langu. Si wake za watu, si mabinti, si wasichana wadogo si watoto wadogo wakike! si gauni, si blauz, si sketi, si suruali!

Si kanisani, si kazini, si mtaani, si mjini si kwenye sherehe! jambo moja kwenu linafanana, NGUO ZA KUWACHORA! na hata mnatembea au kuinama kwa shida!

Mmekumbwa na nini, hamuoni haya?

Hamjui mnatupa tabu wanaume? wote mnajiuza?

1643892101544.png
 
kwanini mmeamua kuvaa nguo za kubana tu?!

Ndilo dukuduku langu. Si wake za watu, si mabinti, si wasichana wadogo si watoto wadogo wakike! si gauni, si blauz, si sketi, si suruali! Si kanisani, si kazini, si mtaani, si mjini si kwenye sherehe! jambo moja kwenu linafanana, NGUO ZA KUWACHORA! na hata mnatembea au kuinama kwa shida!

Mmekumbwa na nini, hamuoni haya? Hamjui mnatupa tabu wanaume? wote mnajiuza?
Wanaume Tunapitia Comments Maana Hatujaulizwa Sisi
 
Nawasubiri comments za wanawake wenye kuvaa vibanio
 
"Wote mnajiuza?" sijakipenda hiki kisentensi.....

Watu wavae nguo zozote asee. Kikubwa hawavunji sheria za nchi.
Wengine tunavutiwa na tunatamani kuendelea kuvutiwa zaid na uvaaji huo.

Note; rekebisha pale uliposema n wanawake wote. Maana ushamjumlisha na mama yako mkuu.
 
Wengi wanauza ngono/kudanga siku hz BIASHARA MATANGAZO wanavaa nguo za kubana kuonyesha maungo yao mapaja, makalio, mahipsi, viuno, matiti ili wanaume wavutiwe wawape hela. UKAHABA siku hz na uasherati umekuwa siyo aibu tena imekuwa ni sifa kwa wanawake wanajisifu kuwapanga wanaume mradi hela tu
 
Back
Top Bottom