Mzee23
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 1,731
- 3,628
Kwanini mmeamua kuvaa nguo za kubana tu?!
Ndilo dukuduku langu. Si wake za watu, si mabinti, si wasichana wadogo si watoto wadogo wakike! si gauni, si blauz, si sketi, si suruali!
Si kanisani, si kazini, si mtaani, si mjini si kwenye sherehe! jambo moja kwenu linafanana, NGUO ZA KUWACHORA! na hata mnatembea au kuinama kwa shida!
Mmekumbwa na nini, hamuoni haya?
Hamjui mnatupa tabu wanaume? wote mnajiuza?
Ndilo dukuduku langu. Si wake za watu, si mabinti, si wasichana wadogo si watoto wadogo wakike! si gauni, si blauz, si sketi, si suruali!
Si kanisani, si kazini, si mtaani, si mjini si kwenye sherehe! jambo moja kwenu linafanana, NGUO ZA KUWACHORA! na hata mnatembea au kuinama kwa shida!
Mmekumbwa na nini, hamuoni haya?
Hamjui mnatupa tabu wanaume? wote mnajiuza?