cheetah255
JF-Expert Member
- Oct 19, 2017
- 1,376
- 2,393
Mmmmh akina chidi dada ndio hawa alivyo mpuuz ananga'nga'na kuwa yeye ni jike,Pumbaav kabisa subiri wamasai wakushikishe ukuta.Sijafurahishwa na ratiba ya 'game' za wasichana wangu wawili kuingiliana - JamiiForums
Mpenzi wangu tuwapo penzini ile nachochea ananiambia nenda kotekote, anamaanisha nini - JamiiForums
Naomba ushauri: Mke wa mtu ananitaka kwa nguvu - JamiiForums
JF ndo tunaambiwa jinsia inabadilika kutegemea na lengo la thread.[/QUOTE
Mipini miwili ndo nn...?
Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTsi umesema masai wanakinyama sa si yapili hio
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uzuri wa Jf banaa vijana wa humu wote sasa hivi na wao watajidai ni wamasai.
Kwa hio Freed we mmasai wa watu ulimpendea kinyama tu?
Maendeleo hayana chama
Kwa wale wote wadada mnaotaka Rafk wa kimasai njooni PM. Me ni masai AsiliHabari JF mapenzi.
Ktk pitapita zangu niliwahi kutoka ama kurock na mwanaume wa kimasai.
Kwa kweli niliinjoi mahaba na sijawahi ona mapenzi ya aina hiyo ila kaka mwenyewe alikuwa na hasira sana hasa ukipigiwa simu na mwanaume yeye anajua huyu lazima ni mpenzi wangu.
Nilichokosea ni kuwasimulia rafiki zangu nilichokuwa nafaidi. Siku moja baada ya kusimulia, rafiki yangu X aliniambia kinachonipa raha kwa mmasai wangu ni kingozi kidogo cha chini ya uume ambacho wanaachiwa watu hawa. Mimi nilikuwa mwoga na sikuwahi kushika dudu lake ikizingatiwa alikuwa mkali.
Baada ya Maelezo hayo siku tulipokutana nikamshika na nikaona kitu kilaini chini ya uume wake, nilimbembeleza aniambie kulikoni, akaniambia eti alitahiriwa nyumbani bila ganzi na hicho kingozi kipo kwa wamasai wote wanatahiriwa nyumbani na sio hospital. Hata hivyo bado siamini kama inawezekana kutahiriwa bila ganzi.
Sasa kimbembe kilianza kwa huyu rafiki yangu X ambaye baada ya kumsimulia alianza kunizunguka naye akaanza kurock na mpenzi wangu. Kwa kweli nilipogundua hili tulipigana na mwishowe wote tulipoteza.
Nilifuta namba zote za mmasai wangu na kwa tetesi nasikia baada ya kutoka pale chuoni nasikia yupo jeshi la wananchi kule shinyanga na habari nyingine zinadai yupo kambi ya Tabora.
Je wewe uliwahi kutoka kimapenzi na Mmasai umemisi vituko gani, mambo gani? Na vipi kuhusu watu hawa ktk ndoa kwa wale mlioolewa na wamasai?
NB: Nilichogundua hawa watu pia hawaoi ugenini na ni afadhali tuligombana kwani angenipotezea muda wangu bure.
Unacho?Mbali na maasai kila mtu aliyetahiliwa kimira na akakaa jando ana hicho kinyama....sikuwa na jua kama hii kitu ni dili kwenu kinadada.
.
.
Basi wacha tulinge.
Sent using Jamii Forums mobile app
For sure naona umeleta uzi wa kejeli nadhani mood anatakiwa afanye kazi yake ipasavyo.Habari JF mapenzi.
Ktk pitapita zangu niliwahi kutoka ama kurock na mwanaume wa kimasai.
Kwa kweli niliinjoi mahaba na sijawahi ona mapenzi ya aina hiyo ila kaka mwenyewe alikuwa na hasira sana hasa ukipigiwa simu na mwanaume yeye anajua huyu lazima ni mpenzi wangu.
Nilichokosea ni kuwasimulia rafiki zangu nilichokuwa nafaidi. Siku moja baada ya kusimulia, rafiki yangu X aliniambia kinachonipa raha kwa mmasai wangu ni kingozi kidogo cha chini ya uume ambacho wanaachiwa watu hawa. Mimi nilikuwa mwoga na sikuwahi kushika dudu lake ikizingatiwa alikuwa mkali.
Baada ya Maelezo hayo siku tulipokutana nikamshika na nikaona kitu kilaini chini ya uume wake, nilimbembeleza aniambie kulikoni, akaniambia eti alitahiriwa nyumbani bila ganzi na hicho kingozi kipo kwa wamasai wote wanatahiriwa nyumbani na sio hospital. Hata hivyo bado siamini kama inawezekana kutahiriwa bila ganzi.
Sasa kimbembe kilianza kwa huyu rafiki yangu X ambaye baada ya kumsimulia alianza kunizunguka naye akaanza kurock na mpenzi wangu. Kwa kweli nilipogundua hili tulipigana na mwishowe wote tulipoteza.
Nilifuta namba zote za mmasai wangu na kwa tetesi nasikia baada ya kutoka pale chuoni nasikia yupo jeshi la wananchi kule shinyanga na habari nyingine zinadai yupo kambi ya Tabora.
Je wewe uliwahi kutoka kimapenzi na Mmasai umemisi vituko gani, mambo gani? Na vipi kuhusu watu hawa ktk ndoa kwa wale mlioolewa na wamasai?
NB: Nilichogundua hawa watu pia hawaoi ugenini na ni afadhali tuligombana kwani angenipotezea muda wangu bure.
Ulaji wa vyakula vya mifugo km maziwa na nyama. Pia asili itokanayo na malezi.Wanaume wa kimasai wanakuwaga na hasira sana sijui ni kwann
Unajua maana yake?!Ila wamasai watu wa ajabu sana, wanaume wenyewe wanabakiza vinyama vyao ila vinyama vya dada zao wanavifyekelea mbaaali.
Maendeleo hayana chama