Nawe ni mmasai?Aiseee
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Nawe ni mmasai?
NA SISI WANAUME WA OLDONYO_LENGAI TUNAOTEMBEA NA FIMBO, SIME NA MARUNGU TUKIWA TUMEFUNGA LUBEGA BILA KUVAA KAPTURA WALA BOKSA TUNAHUSIKA HAPA?Habari JF mapenzi.
Ktk pitapita zangu niliwahi kutoka ama kurock na mwanaume wa kimasai.
Kwa kweli niliinjoi mahaba na sijawahi ona mapenzi ya aina hiyo ila kaka mwenyewe alikuwa na hasira sana hasa ukipigiwa simu na mwanaume yeye anajua huyu lazima ni mpenzi wangu.
Nilichokosea ni kuwasimulia rafiki zangu nilichokuwa nafaidi. Siku moja baada ya kusimulia, rafiki yangu X aliniambia kinachonipa raha kwa mmasai wangu ni kingozi kidogo cha chini ya uume ambacho wanaachiwa watu hawa. Mimi nilikuwa mwoga na sikuwahi kushika dudu lake ikizingatiwa alikuwa mkali.
Baada ya Maelezo hayo siku tulipokutana nikamshika na nikaona kitu kilaini chini ya uume wake, nilimbembeleza aniambie kulikoni, akaniambia eti alitahiriwa nyumbani bila ganzi na hicho kingozi kipo kwa wamasai wote wanatahiriwa nyumbani na sio hospital. Hata hivyo bado siamini kama inawezekana kutahiriwa bila ganzi.
Sasa kimbembe kilianza kwa huyu rafiki yangu X ambaye baada ya kumsimulia alianza kunizunguka naye akaanza kurock na mpenzi wangu. Kwa kweli nilipogundua hili tulipigana na mwishowe wote tulipoteza.
Nilifuta namba zote za mmasai wangu na kwa tetesi nasikia baada ya kutoka pale chuoni nasikia yupo jeshi la wananchi kule shinyanga na habari nyingine zinadai yupo kambi ya Tabora.
Je wewe uliwahi kutoka kimapenzi na Mmasai umemisi vituko gani, mambo gani? Na vipi kuhusu watu hawa ktk ndoa kwa wale mlioolewa na wamasai?
NB: Nilichogundua hawa watu pia hawaoi ugenini na ni afadhali tuligombana kwani angenipotezea muda wangu bure.
Nayakumbuka mahaba yake, tatizo jinsi tulivyohitimisha mahusiano yetu.Unavyomsifu as if bado unam feel
Sikuleta post yangu kutafuta bwana humu ndani, kwanza niliomba wanawake tuliowahi kudate na wamasai tu tuchanngie. We umefuata nini hapa?na mini nina kingozi kwa chini njoo PM tuyajenge
Post hii haikuhusu, umeisoma? We endelea huko porini na uchungaji mifugo.NA SISI WANAUME WA OLDONYO_LENGAI TUNAOTEMBEA NA FIMBO, SIME NA MARUNGU TUKIWA TUMEFUNGA LUBEGA BILA KUVAA KAPTURA WALA BOKSA TUNAHUSIKA HAPA?
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaleta utamu fulani balaaahhh.Mbali na maasai kila mtu aliyetahiliwa kimira na akakaa jando ana hicho kinyama....sikuwa na jua kama hii kitu ni dili kwenu kinadada.
.
.
Basi wacha tulinge.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukurasa haujafungwa kwa kuwa vitendea kazi vipo bado hope mtakutana tuNayakumbuka mahaba yake, tatizo jinsi tulivyohitimisha mahusiano yetu.
Sitafuti bwana mie.We ndito karibu pm kuna kinyama kimejificha huku!
Ukiwaona wamasai huko mkuu waambie ninawatafuta.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Umenishtukiza mkuu
Jamani nasema kanyama kake kalinipa msismko na mikuno ya ajabu. Nilimpendea mengine pia ila alikuwa na wivuuuuhhh.Uzuri wa Jf banaa vijana wa humu wote sasa hivi na wao watajidai ni wamasai.
Kwa hio Freed we mmasai wa watu ulimpendea kinyama tu?
Maendeleo hayana chama
Wamasai hawanaga wivu hafu Wana dyudyu kubwa ka ya punda vile wamejahaliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sitafuti bwana mie.[/QUOTE
Hata mie sitafuti bibii...
Sina mpango kabisa.Ukurasa haujafungwa kwa kuwa vitendea kazi vipo bado hope mtakutana tu
HapanaNawe ni mmasai?
Na iwe hivyoSina mpango kabisa.
YaaaaapWamasai hawanaga wivu hafu Wana dyudyu kubwa ka ya punda vile wamejahaliwa
Sent using Jamii Forums mobile app