Wanawake/Mabinti tuliowahi kutoka kimapenzi na wanaume wa kimasai tukutana hapa

Kuna mmoja jirani anatoka na demu wa kimbulu. Najua demu wake ni member wa muda mrefu sana humu JF maana niliwahi kuona akisoma JF page tukiwa mahali fulani hivi na nikaona avatar yake. Nasubir atupie aya zake humu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NA SISI WANAUME WA OLDONYO_LENGAI TUNAOTEMBEA NA FIMBO, SIME NA MARUNGU TUKIWA TUMEFUNGA LUBEGA BILA KUVAA KAPTURA WALA BOKSA TUNAHUSIKA HAPA?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
na mini nina kingozi kwa chini njoo PM tuyajenge
Sikuleta post yangu kutafuta bwana humu ndani, kwanza niliomba wanawake tuliowahi kudate na wamasai tu tuchanngie. We umefuata nini hapa?
 
Uzuri wa Jf banaa vijana wa humu wote sasa hivi na wao watajidai ni wamasai.
Kwa hio Freed we mmasai wa watu ulimpendea kinyama tu?

Maendeleo hayana chama
Jamani nasema kanyama kake kalinipa msismko na mikuno ya ajabu. Nilimpendea mengine pia ila alikuwa na wivuuuuhhh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…