Napenda taarab mwimbo mama nipe radhi kaimba sijui nani mashauzi, na mwingine una kinanda kizuri mwishoni tililili tililili tililili tililili hahahahahaha hapo chacha kinandaaaaaaaaaa. tarab nzuri sana kwa mazoezi ya nyonga
Kweli vidume tunatofautiana, sasa wewe makalio makubwa yanakusisimua nini?
Nyani Nyabu ulisema wapenda taarabu mpo wengi, Blackberry anaratiba kabisa ya vipindi vya redio duh, na anasikiliza ofisin kazi zinafanyika kweli? Hao mabosi wake si anawatega sana kwa kunengua huyo mwanamke duh! Taarabu ukiendekeza kweli unakua zuzu mdogowe zoba!
Yaaani taarab inafurahisha mzee Yusuph anapenda raha huyooo, mara anabebwa, anapakatwaa analishwa kila kitu ye afanyiwa tuhapo ndo napokukubali gaga,
moyo ukishapenda..................safi sana kwa kuikubali taarab lol....
Yaani saa hizi times ayiyiyiyi piga bastola fungua usikie kama upo bongoUsijali sana....nayoijua ndo hiyo hiyo
Pole weee kazini kwenu mnakatazwa kusikiliza redio? mie ofisini kwangu tunasikiliza tu tena tushazoea na kazi napiga kama mchezo na JF naingia kama hivi.kwani imekuwa shamba hili jembe mkononi basi hushiki kitu kingine ni kulima tuNyani Nyabu ulisema wapenda taarabu mpo wengi, Blackberry anaratiba kabisa ya vipindi vya redio duh, na anasikiliza ofisin kazi zinafanyika kweli? Hao mabosi wake si anawatega sana kwa kunengua huyo mwanamke duh! Taarabu ukiendekeza kweli unakua zuzu mdogowe zoba!
Yaani saa hizi times ayiyiyiyi piga bastola fungua usikie kama upo bongo
Na kiwowowo manshallah mungu kanijalia na mguu wake, natingisha taratiiibu nyonga na taarabu mtoto wa kike narindima kipwani ati utantakaBlackbery taarabu haisikilizwi tu inachezwa pia kwa wakati huo huo. Mambo ya kukunja mugongo mugongo na kugeuka kutazama wowowo lako huku umeshika magoti wakati huo huo unyooshe kidole juu duh? ofisini kwenu wanaruhusu yote hayo? Basi sina shaka wakuu wako wa kazi nao huinjoy ukatapo mauno yako au nao pia ni wapenzi wa hyo kitu so mmejenga ile political scientists tunaita "spirit de corp or a group spirit" ofisin kwenu!
habari zenu wandugu? Natumai mpo salama kabisa. Jaman swali langu ni fupi. Hivi ni kwa nin wanawake mabonge wanapenda sana taarabu? Je huu mziki ni kwaajiri yao wao wenyewe? Kweli sielewi mpaka sasa kunauhusiano gan taki ya wanawake mabonge na muziki wa taarabu!
Hivo ee hapo nilipitwa yakheOoh yeah nilikuwa namsikilia bibie Isha Mashauzi akizungumzia bifu lake na Fatma Mcharuko.
Atazindua albamu yake mpya leo Kigamboni
Nani kakwambiaMusic for Lazy
kisukari inaonyesha una makalio fulani ya kiuchokozi hivi....lol..........
</p>Hii mbona jibu lake rahisi sana. Ni kwa sababu Taarab ni muziki wa kucheza bila jasho. Yaani unajitingisha tingisha tu taratiibu mwenyewe kwa raha zako huku kidole umekiweka juu. </p>
<p> </p>
<p>Wewe angalia hata hao watangazaji wa vipindi vya Taarab akina Dida na Gea. Wote vibonge vibonge tu. Vimbaumbau hata hawaendani na Taarab.</p>
<p> </p>
<p>Hivi humu kuna mpenzi wa Taarab kunishinda mimi? Najua mpo ila mnaogopa tu kusema kwa sababu msije mkaonekana Waswahili. Shauri zenu bana. Nyinyi oneni noma tu wakati wengine tunafurahia bila vizingiti.</p>
<p> </p>
<p>Mzee Yusuf na Amigo wako juuuuuuuuuuuu.