Wanawake makini wenye akili hupenda mwanaume mwenye mipango mizuri ya fedha!

Wanawake makini wenye akili hupenda mwanaume mwenye mipango mizuri ya fedha!

Nahman

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2023
Posts
599
Reaction score
1,749
Unaweza kushangaa ikiwa hufahamu hili,

Ikiwa mwanamke atapenda ufujaji na matumizi yako mabovu ya fedha basi kuwa na hakika ya kuwa uko na mwanamke mjinga na malaya!

Wanawake makini na wenye akili hupenda mwanaume mwenye matumizi thabiti ya fedha, mwenye mipango na maendeleo chanya!

Mwanamke mwenye kuwaza na kufikiri vyema kamwe hawezi kudumu na wewe.

Sio mara zote mwanamke atakuomba hela akitaka umpe.

Sikiliza, atapima sababu ulizompa na uwezo wako wa kufikiri kisha atapata majibu ya kuwa wewe ni MJINGA!

Halafu kuna wewe mjinga mwingine ambaye👇🏻

Rafiki zako wanakuita tajiri na wewe usivyo na akili unacheka meno yote nje ukidhani una maana.

Wenzio wanafurahia ujinga na upumbavu wako.

Geuka nyuma.

Watazame. Wenzio hawakununulii pombe na hawafuji pesa zao hovyo.

Wana maendeleo, wanafanya mambo kimya kimya huku wakikuacha na 0.

Wako na wewe kwa macho ya nyama, wamekuacha mbali kwenye kufikiri na kufanya maamuzi.

Shtuka, kaa kijanja.
 
Wanasema wazee wa kutoa ushauri..

Usijilinganishe na mtu.. hii kauli kwangu ni batili.

Nakumbuka kipind naanza kazi rasmi.. nilikuta watu wap kazini. Wengine wana miaka 14 tangu ajira yake ianze, ila nikafanya comparison ndg tu kati yao na mm ninae anza moja. Nikagundua kuna gape dogo sana...... ambalo nikifight within 3 yrs nalijaza na kuwazidi kimaendeleo..

All in all HAKIKISHA unaweka mipango ktk MAANDISHI fanya mambo kwa kuandika.

Kuna kitu kinaitwa THE POWER OF WRITING... hakika hautafeli.

Mie nikichek mipango nikiona siendi vzr narud ktk maandishi kusoma ramani wapi nimekosea au nimetokaje nje ya malengo.. narudi tena ktk mstari.
 
Wanasema wazee wa kutoa ushauri..

Usijilinganishe na mtu.. hii kauli kwangu ni batili.

Nakumbuka kipind naanza kazi rasmi.. nilikuta watu wap kazini. Wengine wana miaka 14 tangu ajira yake ianze, ila nikafanya comparison ndg tu kati yao na mm ninae anza moja. Nikagundua kuna gape dogo sana...... ambalo nikifight within 3 yrs nalijaza na kuwazidi kimaendeleo..

All in all HAKIKISHA unaweka mipango ktk MAANDISHI fanya mambo kwa kuandika.

Kuna kitu kinaitwa THE POWER OF WRITING... hakika hautafeli.

Mie nikichek mipango nikiona siendi vzr narud ktk maandishi kusoma ramani wapi nimekosea au nimetokaje nje ya malengo.. narudi tena ktk mstari.
💯
 
Kupata perfect woman ni issue sana kwa kizazi hiki.

Unapata mwanamke ana heshima, mnyenyekevu, mwenye maadili na hofu ya Mungu. Ila akili ya maisha hana kabisa anapenda nguo za gharama, kula vyakula vya juu kiufupi ukiwa nae mnafuja mali.

Mwingine ana kiburi, kisirani, mdomo na kununa hatari ila yuko smart sana kichwani. Ana kupa mipango ya maisha unasema huyu hapa sasa.
 
Back
Top Bottom