Wanawake mje mseme tujue mnataka nini kabla huu mwaka haujaisha, wanaume wenzangu karibuni mjionee wenyewe

Wanawake mje mseme tujue mnataka nini kabla huu mwaka haujaisha, wanaume wenzangu karibuni mjionee wenyewe

My Honest Book

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2015
Posts
1,363
Reaction score
2,161
Wanawake kuna muda mnakua hamjielew nini hasa mnataka,na ifike mahala tumalize baadhi ya mijadala iloyokua inajirudia humu jukwaa la MMU,

Naomba mnyooshe maelezo apa kabla hatujavuka mwaka tujue nn mnataka

1) Mnataka Kuolewa ama Hamtaki?!!

2)Mnataka Pesa kwa mwanaume ama Mapenz ya kweli?!!

3)Mnataka MaChurch Boys ama Wahuni?!?

4)Mnataka Black Panthers Ama Light skins

5)Mnataka Show kila Siku ama mara moja kwa week?!!

6)Mnaotoa mimba kila siku,mnataka kukamilisha nini ili mzae,eti nyie?!!

7)Eti we mwanamke bado unataka kuwa peke yako ama tunakubaliana mtavumilia michepuko yetu?!!

8)Bado mmepanga kuendelea kuchungulia simu zetu mpk 2023?!!

Mimi binafsi SON OF ANDREW napenda Miss Bantu mizigo shehe wangu muhimu,mwny rangi ya chocolate kuhusu tabia zozote tu mana sina mpango wa kuoa mimi
 
To yeye akisoma Uzi wako baada ya kumalizana na mzabzab [emoji38]
JamiiForums1114102480.jpg
 
Wanawake kuna muda mnakua hamjielew nini hasa mnataka,na ifike mahala tumalize baadhi ya mijadala iloyokua inajirudia humu jukwaa la MMU,

Naomba mnyooshe maelezo apa kabla hatujavuka mwaka tujue nn mnataka

1) Mnataka Kuolewa ama Hamtaki?!!

2)Mnataka Pesa kwa mwanaume ama Mapenz ya kweli?!!

3)Mnataka MaChurch Boys ama Wahuni?!?

4)Mnataka Black Panthers Ama Light skins

5)Mnataka Show kila Siku ama mara moja kwa week?!!

6)Mnaotoa mimba kila siku,mnataka kukamilisha nini ili mzae,eti nyie?!!

7)Eti we mwanamke bado unataka kuwa peke yako ama tunakubaliana mtavumilia michepuko yetu?!!

8)Bado mmepanga kuendelea kuchungulia simu zetu mpk 2023?!!

Mimi binafsi SON OF ANDREW napenda Miss Bantu mizigo shehe wangu muhimu,mwny rangi ya chocolate kuhusu tabia zozote tu mana sina mpango wa kuoa mimi
Pesa tu sie ni pesa tu
 
Back
Top Bottom