Wanawake mkiamua, wanaume wote kwisha habari yetu!!!!!!

Nina wasiwasi umechimbwa mkwala na your hubby, yaani wewe Ndyoko, ukurupuke tu na kutumwagia mijisifa namna hii! hapa kuna namna, au kuna kuna mwana JF mwenye uke unampigia chapuo humu, hii sio bure kabisa.. mh!

Nitake radhi zinduna.
 
Kwa sababu mwanamke ana akili sana ukilinganisha na mwanaume..............................
Mwenye akili timamu huwezi kumrubuni na kumbadili mawazo kirahisi kama alivyofanya eve na devil.
 
Nina mtazamo tofauti,mwanamke unaweza ukamthamini,ukampa kila anachohitaji,penzi la kutosha,majumba,magari ya kifahari,ukawa karibu naye muda wa kutosha na pia ukawa mwaminifu 100% lakini mwisho wa yote atakufanyia jambo baya na la ajabu.Ukimwuliza sababu ya kufanya hivyo,jibu ni SHETANI tu.
 

Aiseeee! Umenikumbusha kituko kimoja cha mshikaji alimkamata mkewe 'ready-handed' akimuwekea sumu kwa chakula, alipomuuliza why she did that mwanamke akamwambia 'samahani mume wangu sikudhamiria'. Jamaa alihama nyumba akamuacha mwanamke pekee hadi leo demu anaishi kwa hiyo nyumba alone. Jamaa hataki hata kusikia juu ya huyo mwanamke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…