Wanawake mkitaka kununua mashine ya kunyolea huwa mnasemaje?

Aende pharmacy maduka mengi wana uza wadada
 
bora palizi jembe linahusika,,mimi ni kunyofoa hadi mizizi(sio waxing ni kucha zinatumika)
Unazingua. Unatoa za nini ? Unafikiri zipo apo bahati mbaya?😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…