Wanawake mmepoteza ladha za asili, hamvutii tena bali mnatamanisha tu

Wanawake mmepoteza ladha za asili, hamvutii tena bali mnatamanisha tu

msafwa93

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2011
Posts
4,786
Reaction score
5,963
Hii ni kwa wanawake wote wa Daressalaam..

Hamna radha tena wala ushawishi wa asili kwenye mahaba mmebaki kuigiza kila kitu..

1.MOYONI
Hamjulikani mnawaza nini na mnafikiria nini aidha mnapenda kweli au mnazuga tu, kwenye siasa tunaita 'MOYO WA KIKWETE' Yani unaweza kucheka kumbe umechukia, unaweza kusema i love you ukiwa na maana ya i hate you...(FAKE).

2.MWILINI
Asilimia 90% ya nyie mademu wa huko Daresaalam mmejichubua, hamuwezi kutembea bila makeup, na ukikuta amejazia nyuma ujue mchina..(FAKE).

3.KITANDANI
Hapa sasa, huwa natamani hadi nilie nikijifikilia..kwa mfano zamani wapenzi mkitoka kugegedana lazima muoge kutokana na shughuli pevu iliyotendeka na na ile harufu ya asili aliyonayo mwanamke kunako sirini,na ikitokea hamjaoga mkikaa karibu na watu lazima wagundue..lakini sikuhizi unaweza kupiga demu wa daresalaam fasta na mkaingia job wote msigundulike kisa sehemu zenu mnaziingiza kwenye kizazi cha 'FAKE EVERYTHING'..

kutwa kupaka malimao na ndimu ili muonekane bado wamo wakati mna Mabwawa ya mtera, hadi mmeona muanze dhambi ya kutumia 0713 ili tu kuficha aibu zenu za kuwa na mapango ya amboni katika umri mdogo kwasababu ya kutumika ovyo..

Kwenye kujituma mkiwa mchezoni mnaishia kupiga mikelele tu isiyo na msingi ndiyo maana wanaume tunawashaga redio ili tusisikie matakataka yenu ya 'ooh baby...ooo' kwasababu kwanza yanakuwa FAKE mnaiga kwenye porn films pili akilini mnawaza ela utakayopewa baada ya game..

FAKE..FAKE...FAKE...FAKE...

Kwa tabia hii ninyi wanawake haswa nyie masista duu wa Daressalaam mtaishia kuwa Single Moms, because mnakinai for a day..

HAMVUTII bali MNATAMANISHA..

Msafwa
Uporoto,Mbeya..
 
[emoji23][emoji23]Ngoja tusubiri waanze kumiminika, mtoa uzi usikae mbali.
 
Uncle mbona mi navutia eti. Mi mwanamke wa siku hizi
 
Hili kombora limerushwa kutoka uporoto hadi kwa walimbwende wa dsm,sijui upande wa pili watalijibu vipi?hii ni zaidi ya mkorea na mmarekani
 
Kwani tukiishia kuitwa single mum wewe kinachokuuma nini au Unapungukiwa nini??

Au unaona donge tunavopigwa mikuyenge unataka upigwe wewe na mimba ubebe wewe !!
 
Mbaya zaidi wanadai hela nyingi sana bora tu wangetugaia bure huku wanaboresha kiwango au mnasemaje masela?[emoji2]
Hata nauli inabidi wawe wanagharamia wenyewe kwa hizi tabia fake..
 
Kwani tukiishia kuitwa single mum wewe kinachokuuma nini au Unapungukiwa nini??

Au unaona donge tunavopigwa mikuyenge unataka upigwe wewe na mimba ubebe wewe !!
Una watoto wangapi waliopo kwa bibi yao.???
 
Back
Top Bottom