Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 817
Haya mi nakwambia ukweli. . .
Nilianza nikiwa std 5. . . mpaka sasa hivi nimeshiriki na watu 17. . .
HAPPY??
Malalamiko mengine bana.
Ungeniambia hayo mapema wala nisingekuja hata kuchumbia, lol!
Haya mi nakwambia ukweli. . .
Nilianza nikiwa std 5. . . mpaka sasa hivi nimeshiriki na watu 17. . .
HAPPY??
Malalamiko mengine bana.
Utakuwa mtaalam sana Lizzy
Hahahah. . . sina shida na uchumba wako so njoo uuchukue.
Haya mi nakwambia ukweli. . .
Nilianza nikiwa std 5. . . mpaka sasa hivi nimeshiriki na watu 17. . .
HAPPY??
Malalamiko mengine bana.
Nyie wanawake wa posta mnajifanya wajanja sana!
Ukweli utakuweka huru! Mwanaume kama amekupenda hata ukimpa story gani atakuganda tu kuliko ukimficha halafu akagundua ndio hapo inaanza kasheshe!
Haya mi nakwambia ukweli. . .
Nilianza nikiwa std 5. . . mpaka sasa hivi nimeshiriki na watu 17. . .
HAPPY??
Malalamiko mengine bana.
Kuwa mkweli lizzy umeshalabwa na wanaume wangapi na umeanza ukiwa class gani? stop jiking
Wanawake ni waongo sana. Kila mwanamke ambae nimekuwa nae utasikia anakwambia hivi.
1. Yani mimi mpaka namaliza chuo nilikuwa sijawahi kuwa na mwanaume
2. Mwingine yani mimi mpaka namaliza sekondari sijawahi kuwa na mwanaume
3. Mwingine utasikia yani mimi wewe ni mwanamme wangu wa pili nilikuwaga tu na boy friend tukaachana
4. Mwenye mtoto atakwambia mimi kwanza wala sikupenda kuzaa nae alinibaka
Kifupi - Usichimbe historia ya mke wako kwani utachanganyikiwa ndugu yangu.
Ila wanawake ni waongo sana kwani mimi kila shule niliyopita kuanzia primary, o level, a level na college wanawake walikuwa wanaliwa ila leo ukikutana nao watakudanganya.
Wanasema ukweli tatizo akili zenu zinahisi zinadanganywa muda wote.
Hahahah. . . sina shida na uchumba wako so njoo uuchukue.