Kwenye hli laushawah kuwa na wangapi,mi huwa sipend kulijibu km vle ncvyopenda kuuliza/kujibiwa.
manake km ntamuuliza He,itakuwa ngumu kunambia mimi ni wa 40.
nami hata kama nshawah kuwa na vjana zaid yakumi km ntajtahd sn ntasema yy wa 3!
huwa naona tunadanganyana!bora kutouliza ujiaminishe tu ww ndo chaguo kwa kpnd hko.