Wanawake mnaionaje hii????????????

Wanawake mnaionaje hii????????????

charger

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2010
Posts
2,320
Reaction score
1,371
Habari ya weekend ndugu zangu na wana jamii forum popote mlipo.Naamini weekend mmeitumia ipasavyo.

Napenda kuchukua fulsa hii kuleta mbele yenu nafasi hii ya uwekezaji kwa kina dada/mama.Tukiachana na zile biashara ambazo huwa zinaleta taswira mbaya kwa jamii ambazo sina haja kuzitaja,zipo fulsa nyingine halali zinazidi kujitokeza,kama uuzaji wa nywele kama wenzetu wa asia kule.Katika pitapita nikaona na hii nikaona si mbaya kuwashirikisha.

Ice-cream made of human milk on sale.By IB Times Staff Reporter

A restaurant in London is selling ice cream made with breast milk donated by a British mom to make the "totally natural" treat.
The Icecreamists parlor is pricing the new flavor, which is named "Baby Gaga", at 14 pounds ($23). The new recipe blends the breast milk with Madagascan vanilla pods and lemon zest, which is then freshly churned into ice cream.
 
Habari ya weekend ndugu zangu na wana jamii forum popote mlipo.Naamini weekend mmeitumia ipasavyo.

Napenda kuchukua fulsa hii kuleta mbele yenu nafasi hii ya uwekezaji kwa kina dada/mama.Tukiachana na zile biashara ambazo huwa zinaleta taswira mbaya kwa jamii ambazo sina haja kuzitaja,zipo fulsa nyingine halali zinazidi kujitokeza,kama uuzaji wa nywele kama wenzetu wa asia kule.Katika pitapita nikaona na hii nikaona si mbaya kuwashirikisha.

Ice-cream made of human milk on sale.By IB Times Staff Reporter

A restaurant in London is selling ice cream made with breast milk donated by a British mom to make the "totally natural" treat.
The Icecreamists parlor is pricing the new flavor, which is named "Baby Gaga", at 14 pounds ($23). The new recipe blends the breast milk with Madagascan vanilla pods and lemon zest, which is then freshly churned into ice cream.

Full Uchafu, full kinyaa
Na kama huyo anaemwagia maziwa yake ana ugonjwa wa ngozi au vidonda au kansa, au matatizo ya kiafya yanayohusisha hadi kwenye damu yake ndo anakuwa SILENT HUMAN KILLER
 
No way ndo mwanzo wa kuambukizana magonjwa ya ajabu!!! mafisadi wanatutosha bongo!
 
Habari ya weekend ndugu zangu na wana jamii forum popote mlipo.Naamini weekend mmeitumia ipasavyo.

Napenda kuchukua fulsa hii kuleta mbele yenu nafasi hii ya uwekezaji kwa kina dada/mama.Tukiachana na zile biashara ambazo huwa zinaleta taswira mbaya kwa jamii ambazo sina haja kuzitaja,zipo fulsa nyingine halali zinazidi kujitokeza,kama uuzaji wa nywele kama wenzetu wa asia kule.Katika pitapita nikaona na hii nikaona si mbaya kuwashirikisha.

Ice-cream made of human milk on sale.By IB Times Staff Reporter

A restaurant in London is selling ice cream made with breast milk donated by a British mom to make the "totally natural" treat.
The Icecreamists parlor is pricing the new flavor, which is named "Baby Gaga", at 14 pounds ($23). The new recipe blends the breast milk with Madagascan vanilla pods and lemon zest, which is then freshly churned into ice cream.
mbna zimepgwa marufuku.
 
Jamani CPU hata mie nilikua kama nimestuka but nikahisi labda ni maendeleo mi mshamba.

Full Uchafu, full kinyaa
Na kama huyo anaemwagia maziwa yake ana ugonjwa wa ngozi au vidonda au kansa, au matatizo ya kiafya yanayohusisha hadi kwenye damu yake ndo anakuwa SILENT HUMAN KILLER
 
Heee! Jamani na magonjwa yote haya.
halaf naskia ukidonate milki ile askrimu inaandikwa made in husninyo. heheh niwekee askrimu mbili, nakuja dodoma b4 easter. ole wako uzime simu
 
Hata ng'ombe nao wale wa kizungu ambao ndio tunakunywa maziwa yao wana maradhi kibao na vile vimanyoa vinavyopenya kwenye maziwa yale pia yanaleta athma na kifua kwa watoto kwa sana tu, kwa hiyo kila kitu kina mazuri na mabaya yake.Ila sasa namna ya kuyapeleka huko ni ishu. hii huku kwetu haiwezekani
 
halaf naskia ukidonate milki ile askrimu inaandikwa made in husninyo. heheh niwekee askrimu mbili, nakuja dodoma b4 easter. Ole wako uzime simu

ha ha ha ha ha ha ha ah
 
Hata ng'ombe nao wale wa kizungu ambao ndio tunakunywa maziwa yao wana maradhi kibao na vile vimanyoa vinavyopenya kwenye maziwa yale pia yanaleta athma na kifua kwa watoto kwa sana tu, kwa hiyo kila kitu kina mazuri na mabaya yake.Ila sasa namna ya kuyapeleka huko ni ishu. hii huku kwetu haiwezekani

basi kuna watu washatamani! mnh....:A S 13:

Mhhhhh!!!!!!

mnalalamika mnakandamizwa, mara sjui hakuna ajira . sasa zali la askrimu limekuja mnaanza kujigonga gonga. mimi naomba mniinkludi kwenye wateja wa hii askrimu. na ikibidi katika zoezi la ukamuaji pia nitashiriki.
 
halaf naskia ukidonate milki ile askrimu inaandikwa made in husninyo. heheh niwekee askrimu mbili, nakuja dodoma b4 easter. ole wako uzime simu

ha ha ha ha! Mwanaume umepinda wewe..lol!
Njo, na mimi uniletee chochote kilichokuwa made in klorokwin.
 
Back
Top Bottom