Wanawake mnao jiuza, mnaroho ngumu sana

Wanawake mnao jiuza, mnaroho ngumu sana

Bacore

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2017
Posts
222
Reaction score
228
wadau, habari zenu,

Dada zangu mnao uza papuchi, hivi mmekataa kabisa kufikilia aina nyingine ya biashara, mkachagua kujiuza? Siku zote yule muuzaji ndio mbaya sana, wateja watajuaje aina ya bidhaa, kama haijatangazwa" niwafumbe midomo manake mngekuja kusema vipi kuhusu wanunuzi! wengi wenu mchana mnaonekana innocents, ifikapo usiku, mnakuwa tofauti kabisa, kwakweli muache kutusumbua tunapo pita njia.

Kwanza mnaharibu sifa ya mwanamke, usemi ule wa mwanamke ni chombo cha starehe mnautimiza, na kuwadhalilisha wanawake wengine, wewe mwanamke unatembea na wanaume zaidi ya 30 kwa siku, kweli!! alafu mnakuja kutafuta ndoa, baada ya kutumika sana, inajulikana kuwa dunia ndipo ilipo fikia, lakini sio kwa uwingi huo na idadi hiyo ya wauza K. daah!

Najua wauzaji mtatoa mapovu hapa pamoja na wateja wenu, lakini Mungu yupo upande wangu kunitetea, acheni mtelemko, tafuteni kazi zingine.
kahaba.jpg
 
Ukiona wauza k kama unavyowaita ni wengi, omba omba nao ni wengi basi hizo ni indiketa kuu za umasikini. Mkuu jikite hasa kwenye uchunguzi wa kwa nini kuna ongezeko kubwa la wauza K ndio utaweza ku solve problem. Kuna nchi kutokana na wingi wa watu na ukosefu wa kazi kuuza K inasomeka kuwa ni kazi kama zilivyo kazi zingine hoja kuwa usifanye hadharani tu. Tuumize akili kidogo kwa nini kuna ongezeko kubwa la wauza K na ombaomba Tz?. Tufungue mjadala.
 
Ukiona wauza k kama unavyowaita ni wengi, omba omba nao ni wengi basi hizo ni indiketa kuu za umasikini. Mkuu jikite hasa kwenye uchunguzi wa kwa nini kuna ongezeko kubwa la wauza K ndio utaweza ku solve problem. Kuna nchi kutokana na wingi wa watu na ukosefu wa kazi kuuza K inasomeka kuwa ni kazi kama zilivyo kazi zingine hoja kuwa usifanye hadharani tu. Tuumize akili kidogo kwa nini kuna ongezeko kubwa la wauza K na ombaomba Tz?. Tufungue mjadala.

Inawezekana pia ikawa ni uvivu na kutotaka kujishughulisha
Na pia tamaa za kutaka pesa bila ku toil


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ukiona wauza k kama unavyowaita ni wengi, omba omba nao ni wengi basi hizo ni indiketa kuu za umasikini. Mkuu jikite hasa kwenye uchunguzi wa kwa nini kuna ongezeko kubwa la wauza K ndio utaweza ku solve problem. Kuna nchi kutokana na wingi wa watu na ukosefu wa kazi kuuza K inasomeka kuwa ni kazi kama zilivyo kazi zingine hoja kuwa usifanye hadharani tu. Tuumize akili kidogo kwa nini kuna ongezeko kubwa la wauza K na ombaomba Tz?. Tufungue mjadala.
watu watakuja kusema kwasababu hakuna hajira! lakini ukikosa hajira ndio ujiuze! ndio wake zetu hawa! mimi nafikiri, hawa ni kusukuma ndani!kwa kufanya hivyo, watalipa dhamana na selikari, itaongeza mapato! angalau basi idadi ya wauzaji ipungue!
 
Biashara ya K inafuata sana kanuni ya supply and demand. Uchumi umekuwa mgumu awamu ya tano. Wauza K wameongezeka sana. Kanuni ya supply and demand imechukua nafasi yake. Bei inazidi kushuka.
 
Acheni mambo yenu malaya watamu bwana kimboka unalala na mtoto mzuri 20000 na anakutunuku mlango wa upili ukioa mlango wa mke wako huwezi tumia lazima uje kimboka kwa mafisi ongezeko lao faida kwetu mafisi acha tutafute tu ela tule mizoga dunia ishaoza sie tunaoza nayo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom