Wanawake mnaoshinda vibarazani kuwasema wapitanjia muache hiyo tabia, mnakera

Wanawake mnaoshinda vibarazani kuwasema wapitanjia muache hiyo tabia, mnakera

Bueno

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2022
Posts
4,114
Reaction score
6,449
Wakuu,

Kuna wadada na wamama huku mitaani tunapoishi wana tabia ya kukaa vibarazani nje iwe mchana iwe usiku wanakaa hapo sehemu ya njia watu kupita kuna hizi barabara za mitaa sasa nyumba zimepangana pembeni barabara inapita katikati wamekaa vibarazani kuwachora wanaopita njia yaan wanatega hapo kuwachora wanaopita njia..

Hawa wadada na wamama hawana kabisa kazi za kufanya yaan wapo wapo tu humuoni akienda kwenye kashughuli chochote yeye akiamka asubuhi sababu chumba chake hakina sealing board ndani kuna joto balaa kwa hio anatoka nje analundikana na wenzake hapo nje wanaitaka wanaanza kupiga umbea.

Hapo wanachokiongea sio cha maana hukuti wanazungumzia mambo ya fedha ya kuongeza kipato na kukua kiuchumi hapo topic utakazokuta ni umbea na udaku kutajataja majina ya wasanii na kuwalinganisha watu, sasa ombea usikatize hapo wanahamishia topic kwako kuanzia ulivyovaa mpaka unavyoonekana na mbaya zaidi wanaweza wakaishia kukucheka.

Muda wote wapo pale hawajacheka ila unapopita wewe tu na hujawasalimia wakaanza kukuongelea na sio kwamba wewe hausikii unasikia na mwisho kabisa wanaanza kucheka, sasa mimi nikikuta wamama au wadada wa aina hio wameweka kakikundi nje ya chumba chao cha giza chenye joto au vibarazani wamejianika nje km mamba waliotoka mtoni hua siwasalimii kabisa nawapita zangu km napita miti mikavu iliyosimama naendelea na mambo yangu.

Sasa nyie wamama na wadada msio na kazi za kufanya kazi zenu kushinda vibarazani kuwasema wapita njia tu mtafanya hio kazi ya kushinda vibarazani mmelundikana vibarazani na kupiga umbea mpaka lini au mnafanya kazi zenu za siri na hamsemi mnauza bei gani?

Niishie hapa.
 
Mleta mada acha mambo ya kufuatilia watu tafuta hela huo muda wa kufuatilia mambo ya ma jobless wanaongea nini ungeutumia kutafuta hela ungekuwa mbali kimaisha

Na wewe huna tofauti na hao ma jobless

Mumbeya wa kutupwa wewe

Mind your own business
 
Unataka waende shamba badala ya kukaa vibarazani?

IMG_20240822_181611_242.jpg
IMG_20240822_181611_620.jpg
 
Mleta mada acha mambo ya kufuatilia watu tafuta hela huo muda wa kufuatilia mambo ya ma jobless wanaongea nini ungeutumia kutafuta hela ungekuwa mbali kimaisha

Na wewe huna tofauti na hao ma jobless

Mumbeya wa kutupwa wewe

Mind your own business
Wewe pia utakua mmoja wapo acheni hio tabia ya kujianika vibarazani na kuanza kuzungumzia wapita njia hawawahusu kitu hao wanapita njia tu
 
Mbona na wewe mkuu umekuja kuwasema humu, hamtofautiani
Sijaja kuwasema nimekuja kusema waache hio tabia najua humu wapo wawafikishie na wengine hio tabia ya kushinda vibarazani bila kazi ya kufanya kazi kuwasema wanaopita njia sio tabia nzuri ni ukichaa
 
Sio wanawake tu hadi wababa wapo wenye tabia hio
Hao wapo wengi najua tena hao wanashinda kucheza bao tu ila hawa wanaume afadhali wana mashamba ya minazi huko usimuone amekaa anacheza bao anacheza draft ana asset zake zinamuingizia pesa hapa nazungumzia wazee sio vijana
 
Alafu unapita wanakaa kimya ukifika mbele kidogo wanacheka kwa pamoja kama vile walitega sekunde fulani zikiisha wacheke 😁😁
Ndio maana mimi naweka earphones masikioni nikiwaona
 
Sijaja kuwasema nimekuja kusema waache hio tabia najua humu wapo wawafikishie na wengine hio tabia ya kushinda vibarazani bila kazi ya kufanya kazi kuwasema wanaopita njia sio tabia nzuri ni ukichaa
wataipata taarifa mkuu watajirekebisha tatizo kidomodomo
 
Hao wapo wengi najua tena hao wanashinda kucheza bao tu ila hawa wanaume afadhali wana mashamba ya minazi huko usimuone amekaa anacheza bao anacheza draft ana asset zake zinamuingizia pesa hapa nazungumzia wazee sio vijana
Pita na gari, funga vioo mkuu
 
Mleta mada acha mambo ya kufuatilia watu tafuta hela huo muda wa kufuatilia mambo ya ma jobless wanaongea nini ungeutumia kutafuta hela ungekuwa mbali kimaisha

Na wewe huna tofauti na hao ma jobless

Mumbeya wa kutupwa wewe

Mind your own business
Sijaja kuwasema nimekuja kusema waache hio tabia najua humu wapo wawafikishie na wengine hio tabia ya kushinda vibarazani bila kazi ya kufanya kazi kuwasema wanaopita njia sio tabia nzuri ni ukichaa
Tabia hii ya wamama na wadada ipo sana uswahilini na imekuwa sugu wengi wao ni masingo maza yamezalishwa yametelekezwa yengine yameachwa wengine yauza nyapu usiku na wachache wameolewa ila hawaishimu waume zao wengi ni washenzi wa tabia
 
Tabia hii ya wamama na wadada ipo sana uswahilini na imekuwa sugu wengi wao ni masingo maza yamezalishwa yametelekezwa yengine yameachwa wengine yauza nyapu usiku na wachache wameolewa ila hawaishimu waume zao wengi ni washenzi wa tabia
Yaan kero tupu
 
Back
Top Bottom