Kila siku ni kuelimika tu! Aksante sanaKutofautisha usimamaji wa kike na kiume
Pia kwa walioflat kutafuta kamwonekano wa tako kidogo
Mpaka ulipofikia umesemwa na wangap na mangap? Kunasehem umepata jerah au ulikufa? Achen waseme wakimaliza usiku wanalala na aliyesemwa hapatwi na lolote maneno hayaui ndo maana watanzania tunapata magonjwa ya mishtuko sababu ya kuwaza vitu kama Ivo et wale wananisema so what? Acha wasema hakuna kitakachobadilika kwenye mwili au maisha yakoUhuru wa kuwaongelea wanaopita njia hio tabia sio tabia nzuri yaan wewe unakaa kibazani na mama yako kuwazungumzia wanaopita njia mna akili nyinyi au masifuri?
Tatizo ya hii mama misingo maza iliyozalishwa na kuachwa km mipakacha imebakia kua mikurumbembe tu kazi haina kazi kushinda vibarazani kuongelea wapita njia ndio nasemaje waache mboni kazi zipo nyingi za kufanya issue hapa sio kusemwa issue waache hizo tabia watafute kazi za kufanya kusuka mikeka, kutengeneza vyungu, nk hawawezi kufanya hizo kazi kwani?Mpaka ulipofikia umesemwa na wangap na mangap? Kunasehem umepata jerah au ulikufa? Achen waseme wakimaliza usiku wanalala na aliyesemwa hapatwi na lolote maneno hayaui ndo maana watanzania tunapata magonjwa ya mishtuko sababu ya kuwaza vitu kama Ivo et wale wananisema so what? Acha wasema hakuna kitakachobadilika kwenye mwili au maisha yako