Wanawake mnapenda gari za aina gani?

Hata aina za gari sijui[emoji595] [emoji594] [emoji596] [emoji598]
 
mkuu tunaongelea heshima sio kuiba wake za watu

Hata mimi ninayeuza dawa za mende,kunguni,viroboto mbona naiba sana wake za watu na sina gari?!

Mkuu, energy unayotumia sasa inaweza kuwa kubwa, mizunguko mingi sana. Ila mimi siongelei wake za watu, naongelea wale wadada single wa mjini.
 
Mkuu, energy unayotumia sasa inaweza kuwa kubwa, mizunguko mingi sana. Ila mimi siongelei wake za watu, naongelea wale wadada single wa mjini.
Hahaha mkuu umebadili gia sasa cha msingi nikuuzie dawa za mende sijapata mteja tangu asubuhi na jua la utosi hili hapa...
 
Land cruiser, range rover,,,, in short cpend gar za mauzo. Napenda gar la kwenda nalo popote. Shamba , town, offcn nk.
 
Kwa wanawake gari ni gari ili mradi litembee. Anaweza kukuacha wewe mwenye mercides benz akachukuliwa na dereva wa daladala.
 
Hahaha mkuu umebadili gia sasa cha msingi nikuuzie dawa za mende sijapata mteja tangu asubuhi na jua la utosi hili hapa...

Dawa za mende utapata sana encounters za kufa mtu, hiyo biashara si ya kuzunguka kwenye nyumba za watu, unatengeneza network ya kufa mtu, halafu ndio nyie mnaokula wake za watu bila hata kukusudia na wadada wa mjini. Wewe unalia dawa ya mende halafu unaingia kwa watu, mara mdada anatoka bafuni amelowa maji na kanga moja ndembendembe, hapohapo unaanza kuchomekea, mdada umeumbika, na wadada wa mjini wanavyopenda kusifiwa, anaitikia "asante mwaya", utaacha kweli?
 
Kuna jamaa alikuwa analalamikia makalio yake, au ndio hizi gari za akina wema? Sio Murano kweli? Siigusi.
Huyo jamaa yako atakuwa anaiongelea ile range kama ya Wema iliyouzwa na TRA
 
Huyo jamaa yako atakuwa anaiongelea ile range kama ya Wema iliyouzwa na TRA

Hivi Wema hafilisiki au jamaa zake kukamatwa pabaya na Magufuli? Mjini hapa mbona najua jamaa kibao wametelekeza michepuko baada ya machimbo yao kubuma, wema michepuko yake ina nini?
 
Hivi Wema hafilisiki au jamaa zake kukamatwa pabaya na Magufuli? Mjini hapa mbona najua jamaa kibao wametelekeza michepuko baada ya machimbo yao kubuma, wema michepuko yake ina nini?
Wema story ya gari ni kipindi kile kabla kamata kamata haijakolea saa hivi nae kachoka ndiyo maana gari lake lilipigwa mnada na TRA
 
Wema story ya gari ni kipindi kile kabla kamata kamata haijakolea saa hivi nae kachoka ndiyo maana gari lake lilipigwa mnada na TRA

Amesumbua mjini, kumbe gari TRA imepiga mnada, akafie mbele huko.
 
njo nipitie hapa bamaga! Ole wako lisiwe semi trela! Cc kakole
 
Wakishakwambia utaenda kukopa ili ulinunue uwafaidi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…