Wanawake Mnapotongozwa Jifunzeni Kujibu Ndio au Hapana kwa Maneno na sio Vitendo

Wanawake Mnapotongozwa Jifunzeni Kujibu Ndio au Hapana kwa Maneno na sio Vitendo

The bump

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2019
Posts
1,488
Reaction score
2,908
Wanaume sisi ni watu tulio wazi sana kwenye hisia zetu tunapopenda na kutamani kitu chochote,ninapokupenda mwanamke nitakufata nitaanza ukaribu nawe kisha nitatafuta siku nitaomba tukae sehemu tulivu nzuri kwa ajili ya kumwaga yalio ujaza moyo wangu.

Ajabu ni kwamba sisi baada ya kuwasilisha hoja zetu kwenu wanawawake ni asilimia 1% out of 100% atakwambia Sawa nimekukubali pale pale, wengi hukwambia naomba nikufikirie nipe muda.

lakini hata baada ya kumpa huo muda aliotaka, Wale wenye majibu ya HAPANA wengi wao atleast 40% huweza kusema "nimefikiria ombi lako naona haliwezekani" lakini 60% ya waliobaki wale ambao wamekubali sasa,Hawatosema kitu.

Utamuona anajichekesha chekesha,ukimuita muende mahali anakubali,ukimwambia njoo kwangu atakuja,ukitaka kula vyakujilia utajilia vizuri tu KUMBUKA hajakwambia kama kaku kubalia ila anafanya yote hayo akiamini ndio njia pekee ya kusema YES. "Mnakosea"

Binafsi wale wote waliojaribu nijibu kwa style hiyo niliwakula na baadae nikawa naendelea kuishi kama nipo single,akiniuliza mbona hanielewi namimi najitoa ufahamu "vipi kwani" naendelea kusubiri JIBU.

wadada niwambie jambo 1, mahusiano yahitaji u serious acheni drama zenu za kihindi,WANAUME tukiwapenda tunawatongoza jifunzeni kuongea mjibu ndio au hapana.

Hatukushindwa kuanza kwa vitendo kama nyie mnavyotumia njia zenu hizo kutujibu,Binafsi mwanamke ninaekutongoza unanijibu kwa vitendo ujue nitakukula then nitasubiri siku utakapo kuwa serious na haya mahusiano uniweke chini uniiimbishe.

Hamna mahali imeandikwa mwanaume mtongoze mwanamke ila mwanamke akujibu kwa vitendo.BADILIKENI la sivyo mtaona hatupo serious kila siku.
 
Acha maneno mengi omba uchi mapema akisema NO abort the mission next her

Modern women wote ni malaya
 
Yaani unataka hadi utamkiwe jibu fulani kwani matendo huoni [emoji849][emoji849][emoji849]
 
Wanaume sisi ni watu tulio wazi sana kwenye hisia zetu tunapopenda na kutamani kitu chochote,ninapokupenda mwanamke nitakufata nitaanza ukaribu nawe kisha nitatafuta siku nitaomba tukae sehemu tulivu nzuri kwa ajili ya kumwaga yalio ujaza moyo wangu.

Ajabu ni kwamba sisi baada ya kuwasilisha hoja zetu kwenu wanawawake ni asilimia 1% out of 100% atakwambia Sawa nimekukubali pale pale, wengi hukwambia naomba nikufikirie nipe muda.

lakini hata baada ya kumpa huo muda aliotaka, Wale wenye majibu ya HAPANA wengi wao atleast 40% huweza kusema "nimefikiria ombi lako naona haliwezekani" lakini 60% ya waliobaki wale ambao wamekubali sasa,Hawatosema kitu.

Utamuona anajichekesha chekesha,ukimuita muende mahali anakubali,ukimwambia njoo kwangu atakuja,ukitaka kula vyakujilia utajilia vizuri tu KUMBUKA hajakwambia kama kaku kubalia ila anafanya yote hayo akiamini ndio njia pekee ya kusema YES. "Mnakosea"

Binafsi wale wote waliojaribu nijibu kwa style hiyo niliwakula na baadae nikawa naendelea kuishi kama nipo single,akiniuliza mbona hanielewi namimi najitoa ufahamu "vipi kwani" naendelea kusubiri JIBU.

wadada niwambie jambo 1, mahusiano yahitaji u serious acheni drama zenu za kihindi,WANAUME tukiwapenda tunawatongoza jifunzeni kuongea mjibu ndio au hapana.

Hatukushindwa kuanza kwa vitendo kama nyie mnavyotumia njia zenu hizo kutujibu,Binafsi mwanamke ninaekutongoza unanijibu kwa vitendo ujue nitakukula then nitasubiri siku utakapo kuwa serious na haya mahusiano uniweke chini uniiimbishe.

Hamna mahali imeandikwa mwanaume mtongoze mwanamke ila mwanamke akujibu kwa vitendo.BADILIKENI la sivyo mtaona hatupo serious kila siku.
Lazima mtu apime kwanza ndio aseme yes 😜😜😜 sasa unasema yes halafu kumbe hakuna kitu
 
Wanaume sisi ni watu tulio wazi sana kwenye hisia zetu tunapopenda na kutamani kitu chochote,ninapokupenda mwanamke nitakufata nitaanza ukaribu nawe kisha nitatafuta siku nitaomba tukae sehemu tulivu nzuri kwa ajili ya kumwaga yalio ujaza moyo wangu.

Ajabu ni kwamba sisi baada ya kuwasilisha hoja zetu kwenu wanawawake ni asilimia 1% out of 100% atakwambia Sawa nimekukubali pale pale, wengi hukwambia naomba nikufikirie nipe muda.

lakini hata baada ya kumpa huo muda aliotaka, Wale wenye majibu ya HAPANA wengi wao atleast 40% huweza kusema "nimefikiria ombi lako naona haliwezekani" lakini 60% ya waliobaki wale ambao wamekubali sasa,Hawatosema kitu.

Utamuona anajichekesha chekesha,ukimuita muende mahali anakubali,ukimwambia njoo kwangu atakuja,ukitaka kula vyakujilia utajilia vizuri tu KUMBUKA hajakwambia kama kaku kubalia ila anafanya yote hayo akiamini ndio njia pekee ya kusema YES. "Mnakosea"

Binafsi wale wote waliojaribu nijibu kwa style hiyo niliwakula na baadae nikawa naendelea kuishi kama nipo single,akiniuliza mbona hanielewi namimi najitoa ufahamu "vipi kwani" naendelea kusubiri JIBU.

wadada niwambie jambo 1, mahusiano yahitaji u serious acheni drama zenu za kihindi,WANAUME tukiwapenda tunawatongoza jifunzeni kuongea mjibu ndio au hapana.

Hatukushindwa kuanza kwa vitendo kama nyie mnavyotumia njia zenu hizo kutujibu,Binafsi mwanamke ninaekutongoza unanijibu kwa vitendo ujue nitakukula then nitasubiri siku utakapo kuwa serious na haya mahusiano uniweke chini uniiimbishe.

Hamna mahali imeandikwa mwanaume mtongoze mwanamke ila mwanamke akujibu kwa vitendo.BADILIKENI la sivyo mtaona hatupo serious kila siku.
Bora wewe unawakula, ila wenzio hatuli na hatujibiwi kama kakubali au kakataa.
 
Kuna dada mmoja nilikuwa kwenye mchakato alipoona usumbufu unazidi alianza kunikemea nakumbuka alinena kwa ukali kwenye maombi yake "niondoe kutoka majaribu ya huyu shetani mwenye macho mekundu" huyu nafikiri aliishi kwenye falsafa ya huu uzi
 
Wanaume sisi ni watu tulio wazi sana kwenye hisia zetu tunapopenda na kutamani kitu chochote,ninapokupenda mwanamke nitakufata nitaanza ukaribu nawe kisha nitatafuta siku nitaomba tukae sehemu tulivu nzuri kwa ajili ya kumwaga yalio ujaza moyo wangu.

Ajabu ni kwamba sisi baada ya kuwasilisha hoja zetu kwenu wanawawake ni asilimia 1% out of 100% atakwambia Sawa nimekukubali pale pale, wengi hukwambia naomba nikufikirie nipe muda.

lakini hata baada ya kumpa huo muda aliotaka, Wale wenye majibu ya HAPANA wengi wao atleast 40% huweza kusema "nimefikiria ombi lako naona haliwezekani" lakini 60% ya waliobaki wale ambao wamekubali sasa,Hawatosema kitu.

Utamuona anajichekesha chekesha,ukimuita muende mahali anakubali,ukimwambia njoo kwangu atakuja,ukitaka kula vyakujilia utajilia vizuri tu KUMBUKA hajakwambia kama kaku kubalia ila anafanya yote hayo akiamini ndio njia pekee ya kusema YES. "Mnakosea"

Binafsi wale wote waliojaribu nijibu kwa style hiyo niliwakula na baadae nikawa naendelea kuishi kama nipo single,akiniuliza mbona hanielewi namimi najitoa ufahamu "vipi kwani" naendelea kusubiri JIBU.

wadada niwambie jambo 1, mahusiano yahitaji u serious acheni drama zenu za kihindi,WANAUME tukiwapenda tunawatongoza jifunzeni kuongea mjibu ndio au hapana.

Hatukushindwa kuanza kwa vitendo kama nyie mnavyotumia njia zenu hizo kutujibu,Binafsi mwanamke ninaekutongoza unanijibu kwa vitendo ujue nitakukula then nitasubiri siku utakapo kuwa serious na haya mahusiano uniweke chini uniiimbishe.

Hamna mahali imeandikwa mwanaume mtongoze mwanamke ila mwanamke akujibu kwa vitendo.BADILIKENI la sivyo mtaona hatupo serious kila siku.
Au anakukataa afu mara anajaa mazima ubakula anaona kama humuelewi then ana jikataa aisee hawa viumbe
 
Back
Top Bottom