VMWare-Oracle
JF-Expert Member
- Dec 19, 2021
- 667
- 917
Ni kweli kabisa mkuuBaadhi ya wanaume acheni kuwa watumwa wa wanawake (mimi sio mtumwa wa mwanamke).
Care as well as don't care,yani pesa unampatia na kitandani umlizishe.Lakini yeye hata asipokulizisha hajali.
African fathers are social fathers,not biological fathers.
Mwanaume ishi maisha yako,zaeni watoto and mind nothing.
Akizingua achana naye,akiringa, potezea,akisusa,poa.Akikupa mbususu,sugua,ukikojoa na yeye hajakojoa,atajikojolesha if hajali hisia zako.
Kukaa kuwaza jinsi ya kumridhisha mtu asiye kujali kihisia ni UTUMWA!
Mchungaji aliingia kichwa kichwa kila siku msukuma wangu hivi msakuma wangu vile kumbe katibu alikua anamchora tuNa Hilo liwatihibitishie kile ninachokisema humu kua "Wanawake ni wabinafsi sana, wanafiki sana , hivo msiwachukulie kama Malaika"
Ishini nao Kwa akili !!! Mjini shule.
Wakati kwenye Maisha yako Kuna sehem ukienda unaambiwa tumia akili Kuna matapeli sana, hiyo akili ndo muitumie kuishi na Wanawake hasa hiki kizazi Cha FB, IG,Tt, JF, Badoo,Tinder N.k !!
Kwakweli Maisha yangu kwenye suala la Mahusiano, Nimelinyoosha haswaaa🤩.
Wewe ni mwanamke?Wanawake wanataka mashetani ya kikristo na wabakaji wa kikristo
Ni mbakaji wa kikristo na dini ya kishetani ya kikristoWewe ni mwanamke?
mbona munatuchangany ss munataka love au pesaTunataka LOVE 😎🥀🌺
Hahhaha mkandamiziwajiUnajisumbua na wanawake,we chapa sepa ukijifanya unaweka kambi ndo yatawakuta ya mkandamiziwaji
Sawa mkuuNi mbakaji wa kikristo na dini ya kishetani ya kikristo
😂😂Kukuru kakara tenaUnajua ni kama nakubaliana na wewe, wanawake ni kama hawapendi uwe good man...uwe kukuru kakara ndo wanataka[emoji23][emoji23]
Hakika, na ni swala la kutumia common sense, ila sasa changamoto ni hii COMMON SENSE IS NOT COMMONKuishi nao Kwa akili don't trust them 100%
Uongo uongo uongo huo.. Hata uwe unajua Kusugua kama anamtaka mwenye Gari na Hauna Hilo gari imekula Kwako..Mwalimu wangu wa Economics Mwakyulu pale Sangu alipokuwa anafundisha birth and mortality rate, population growth and its effect in economy alisema "vijana hamuwajibiki vilivyo, mnatakiwa kusugua mpaka wawaheshimu, siyo kupapasapapasa juu juu tu, shughulikeni mpaka wasahau kwingine