Mkuu nimepata namba kwa shida nikazibeep ndio zenyewe kwahiyo nataka kuanza mashambuliziMjini kuna mambo brother. Kila siku inaanza kwa style yake.
Kama ungemtongoza ingependeza zaidi. Kwa tulio single hapo ungeanza maandalizi safi ya sikukuu.
Hahahaha. Safi sana kijana. Kama uko single kula naye Christmass.Mkuu nimepata namba kwa shida nikazibeep ndio zenyewe kwahiyo nataka kuanza mashambulizi
Kizur kula na nduguyo naingoja namba pmNi shida aisee nimechukua namba zake potelea mbali Nitakula tu