Ukback255
Senior Member
- Aug 31, 2016
- 174
- 278
Wakati tumekaa ni usiku sasa nikawa natoa nguo navua eti anafumba macho ananionea aibu .
Tukaenda tena kwenye kufanya mapenzi eti wakati naingiza yeye anafumba macho daaah .
Tulipoamka asubuhi hataki kuniongelesha tena eti kwanini nimefunyia kitendo kibaya?
Sasa nikajiuliza maswali
Nimekuleta kutoka Chuo mpaka geto ukuniambia kitu?
Nikakukaribisha chumbani kwangu ukuniambia kitu ukakubali!
Nikavua tukalala ukuniambia kitu tumefanya kila kitu eti asubuhi umenuna haaaaaah!!!
Acheni kuwa washamba bora umukwepe mtu kuliko kumchukia baada ya tendo !!
Unakuta mtu kashaingia garama zake alafu wewe kweli akuache tu ulale kwa kitanda chake mpaka asubuhi bila kukuonjaa [emoji2] [emoji1] [emoji3] [emoji3]
Unakuta mtoto mzuri kweli lakini mshamba kweli ajui chochote tena anasoma degree haaaa[emoji1] [emoji28] [emoji1] [emoji28] [emoji2] [emoji2]
Nimewawekea hivyo Vitabu mnaweza vitafuta mjisomee mpunguze uoga na ushamba !!