hehehehehehe!Unaweza kujifanya hutaki kumega kabla, halafu huko kwenye honeymoon unakutana na kitu ambacho ungekijua kamwe usingethubutu kuoa mtu wa hivyo. Imagine unaoa kitakatifu hivyo, halafu ukifika ndani unakuta mwenzio ni tranny au wengine wanaita shemale?
Jamani kuoga inachukua dkk ngapi? Siku hizi kuna tekinolojia ya utandawazi! Au wewe bado unatumia desktop computer? Unaweza pata signal hata kwa GPRS supported mobile phone mkuu! Kama vp tumia iphone!
Hii Vekesheni hii nina wasi wasi maana Pape tangu asubuhi yuko hapa na anatoa update kwa muda mwafaka sasa sijui saa ngapi ameoga, amejindaa. Pape unatuzuga nadhani hayo ni Matamanio ya namna ungewish kuishi na Mkeo
hehehe, mamaa ananiita honey na mimi namwita darling!
Hata watoto tunawaita 'baby'
Ndoa ndoana!
jamaa kibao wanachungulia hii thread ila wamegoma kuchangia!
hehehehe, nitake radhi mkuu!ndio maana nikasema yuko kimaigizo zaidi
mamaa anajua kwamba mimi na jf ni damu damu! hana wasiwasi na mimi! anajua zamu yake ikifika ni balaaaa!ndio maana nikasema yuko kimaigizo zaidi
hehehehehehe!
kwani wewe hauna mashangazi? mashangazi ndiyo kazi zao hizo! watakusaidia kutafiti masuala kama hayo! hehehehe! umenifurahisha!
nipo busy na hii thread tu, sichungulii nyingine! naongea na mamaa! kitu kimekaa mezani hapo ikapokea signal full strength basi maisha raha mustarehe! wakubwa tunafaidi sana!Maana ulisema ni mfano. Hawa watoto wetu wa raha.com, wa umri huo unawaambia tu, nendeni kwa bibi yenu na wao wako murua tu? i dont thinks if parents nowadays have the luxury of dictating the opinions of their kids.
Anyways, na sasa bado uko kwa mtandao na mamsapu naye anafurahia tu hiyo weekend vacation?
Usiseme naingia sana ndani. Tunataka tu kufahamu mwayego.
Mtu B unavituko kweli!Kwa hiyo ukitaka kuchumbia demu lazima kwanza akapekuliwe na shangazi? Sasa huyo atakuwa mkeo au wa shangaziyo? Na hapo kumbuka unaweka fursa ya shangazi kukuchagulia mke apendaye yeye, ukimpenda sana demu ambaye shangazi hamtaki unaletewa ripoti ya upekuzi inasema ana mapembe kinenani!
nipo busy na hii thread tu, sichungulii nyingine! naongea na mamaa! kitu kimekaa mezani hapo ikapokea signal full strength basi maisha raha mustarehe! wakubwa tunafaidi sana!
Najua utaguna kwa hili swali. Una uhakika gani kuwa mkeo hajawahi kucheat? Muangalie vizuri, kwani hatamanishi?Maana wewe utasema ni perfect man.nipo busy na hii thread tu, sichungulii nyingine! naongea na mamaa! kitu kimekaa mezani hapo ikapokea signal full strength basi maisha raha mustarehe! wakubwa tunafaidi sana!
anachunguliaga humu mara nyingi tu!Unless huyo mamaa pia ni member hapa na anaifuatilia hii thread, vinginevyo panaweza kuchimbika au ukatafutiwa msaidizi fasta
Pape, uko bingwa, hongera sana. Naona umelitawala jukwaa la mjadala huu bila utani. Na ndoa haikukondeshi. Pongezi mkuu. Mungu akubarikipamoja na darling wako.hehehe, mamaa ananiita honey na mimi namwita darling!
Hata watoto tunawaita 'baby'
Ndoa ndoana!
Mtu B unavituko kweli!
eti ana mapembe! hehehehehehe!, shangazi ndiyo kazi zao! kumbuka mke ukioa bila kummega kwanza anakuwa mtamu sana! Imagine ndiyo umefunga ndoa hivi utakuwa na hamu kweli? kama kummega umeshamega mara 300 na zaidi, utathubutu kweli kuhemea honey moon yako?
anachunguliaga humu mara nyingi tu!
Well,Najua utaguna kwa hili swali. Una uhakika gani kuwa mkeo hajawahi kucheat? Muangalie vizuri, kwani hatamanishi?Maana wewe utasema ni perfect man.
Well,Najua utaguna kwa hili swali. Una uhakika gani kuwa mkeo hajawahi kucheat? Muangalie vizuri, kwani hatamanishi?Maana wewe utasema ni perfect man.