Wadada naomba mnisaidie, mnapokuwa kwenye uchumba ni kutoa unyumba kwa wenzi wenu ni rahisi sana tena bila masharti sasa kwa nini mkiolewa inakuwa ngumu sana kutoa unyumba na kuja na sababu kibao mara nimechoka, ninausingizi. Je, hudhani kwa kufanya hivi ni kumfanya mumeo awe na mapoozeo?
Wadada naomba mnisaidie, mnapokuwa kwenye uchumba ni kutoa unyumba kwa wenzi wenu ni rahisi sana tena bila masharti sasa kwa nini mkiolewa inakuwa ngumu sana kutoa unyumba na kuja na sababu kibao mara nimechoka, ninausingizi. Je, hudhani kwa kufanya hivi ni kumfanya mumeo awe na mapoozeo?
Ni dhahiri kabisa you are trying to be SMART na kwamba unaongea from assumption hata hujaoa....
Please do not push us MMU ladies... mmoja wa muhimu kapigwa BAN jana usitusababishie tuongezeke....
Haya nenda shule sasa... Umechelewa....
Never get angry.Never make a threat.Reason with people!
signature yako inahusika sana hapa dadangu.
No Smart anasema amabacho tumekisema na tutaendelea kusema....................mkitunyima tamuz kwa kisingizio chcochote kile ni ku violate haki zetu za msingi, mnatuapa chance ya ku opt out kwa haraka sana.......................habari zenyu infidelatrs wote pamoja na Babu
My sis!
ninyi wanawake kwenye maisha yenu tendo la ndoa sio kipaumbele ndio maana huwa mnaresist some times. But kwetu wanaume Tendo la ndoa lina nafasi kubwa sana ndio maana hata ukimnyima mumeo chakula hawezi kasirika kama ukimnyima tendo la ndoa. Na kumnyima mwanaume tendo la ndoa ni unyanyasaji wa hali ya juu no matter with whatever reasons. sababu genuine ni hedhi tu.
Am a married man!
On the contrary, nadhani wanawake wakiolewa wanapenda sex zaidi ya waume zao na ndio maana kuna cry all the times kwamba hawako satisfied!
Chunguza kwa makini zaidi!
No point...unaongea from experience au unatest zali...??Wadada naomba mnisaidie, mnapokuwa kwenye uchumba ni kutoa unyumba kwa wenzi wenu ni rahisi sana tena bila masharti sasa kwa nini mkiolewa inakuwa ngumu sana kutoa unyumba na kuja na sababu kibao mara nimechoka, ninausingizi. Je, hudhani kwa kufanya hivi ni kumfanya mumeo awe na mapoozeo?
Ashadii!
Mimi kama mwanaume naumizwa sana hiki kitendo; kwa kuwa kinanilazimaisha niwatazame wanawake wote kwa jicho jingine.........nyie wazuri mambo yakiwa yanawendea upande wenu vizuri aah utamfurahia mwanamke; iliyo mara nyingi visa uviskiavyo ni kuwa mke / mpenzi wa kike kumnyima mwanaume; ingawa wapo pia wanaume wachache wenye kuwanyima wake zao..............
Ashadii,
We need to compromise otherwise mie nitasepa fasta na kujihudumia huko outside; kwa kujua hilo kwanini mnaendelea kucheza na hatari ya kutubania mazima? don't you know kuwa mnashirki katika kutupelekea kuamua uamuzi usiofaa?