MkimbizwaMbio
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 868
- 331
On the contrary, nadhani wanawake wakiolewa wanapenda sex zaidi ya waume zao na ndio maana kuna cry all the times kwamba hawako satisfied!
Chunguza kwa makini zaidi!
Yaelekea umeshatoa tigo na bado anatoka tu?? Pole dada.hata uwape kila kukicha .hata utoe tigo, kama amezoea kutoka atatoka tu!
Problem ni kua wenza weeengi don't talk about these things radher wana complain kwa watu ambao hata sio wahusika... if you complain and discuss it with your better half it will yield positive results... Pia ukizingatia kutaka kujua why she does that, and what makes her tick??
Ni kiburi tu, kwani unapoolewa hujui kama kuna hili tendo??
Misingi ya ndoa ni hili tendo otherwise no marriage at all. Kwa mujibu wa sheria.
Wadada naomba mnisaidie, mnapokuwa kwenye uchumba ni kutoa unyumba kwa wenzi wenu ni rahisi sana tena bila masharti sasa kwa nini mkiolewa inakuwa ngumu sana kutoa unyumba na kuja na sababu kibao mara nimechoka, ninausingizi. Je, hudhani kwa kufanya hivi ni kumfanya mumeo awe na mapoozeo?
Nimependa haya mawazo kwa 30%tu!eheee!!! Umeona sasa?? With that attitude kweli mtafika?? mwanamke mbembeleze bana si mkeo nini kinakuzuia?? (Mradi asizidishe pozi za kununa kila saa).... Muulize wat is wrongacha mambo ya kusema ni kiburi tu... Nyie wanaume hamjui tumwanamke wako kama lile tendo wewe unafanya ipasavyo wewendio utaanza kulalama unataka kupumzika... hilo nalo liangalie kwa undani!!