Wanawake msionyeshe chuki za waziwazi kwa EX zenu la sivyo hamuendi mbinguni

Th3the

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2014
Posts
1,327
Reaction score
1,779
Habari zenu wakuu!!

Niende straight kwenye mada husika ..unakutana njiani na ex wako unaona siyo ustarabu kumkaushia unaamua kumsalimia lakini cha kushangaza anakuchunia..wengine inafikia Hadi kipindi mkionana tu anaweza change uelekeo au akarudi alikokuwa anatoka ilimradi msionane kisa anachuki na hasira za kuachana ( kweli wapendanao siku wakiachana huwa wanakuja kuwa maadui wakubwa sana)
Kuna mwingine nilimpiga chini ..ila kwa chuki aliyo nayo si ya nchi hii..imagine MTU yuko church alafu nafasi zimejaa alafu umechelewa kuingia ukona nafasi ipo karibu nae..then unaenda kukaa pale kiroho safi ..ila baada ya kukuona tu anaondoka eneo lile kwa hasira mpaka anahairisha ibada ..kweli wanawake MNA chuki Kali.aiseee .ndio maana siku hizi siwaachi huwa nawapanga hata kama mko mia..sitaki kuchukiana na MTU mie
My opinion: kama mmeachana msichukiane kijinga ..Mara kumblock mtu kwenye simu mpaka social media ..alafu hata huyo mtu hana shida na wewe

Wanawake mbadilike sisi wanaume hatuna shida kabisa ..hili tatizo liko katika jinsia pinzani
 
Kama kachukia akahama si basi mkuu unapotezea tu ukiweka kila kitu akilini utakuwaje??? We wapange tu at your own risk na hata usipoitikiwa salam wapi unabadilika? Ukiacha achika ushajua salam hataki unaacha kusalimia
 
Mapenzi sio uadui, hakuna haja ya kununiana, maana maisha haya ni yakupita ,nikuombeana ili wte tufike mbinguni salama
 
Kwani akibadili uelekeo au kukununia, utapungukiwa vitamins gani?

Mkiachana haimanishi mnakuwa maadui lakini hiyo hali ikitokea mind your own business. Acha anune au aku block tu.
 
Kama kachukia akahama si basi mkuu unapotezea tu ukiweka kila kitu akilini utakuwaje??? We wapange tu at your own risk na hata usipoitikiwa salam wapi unabadilika? Ukiacha achika ushajua salam hataki unaacha kusalimia
Watanzania salamu ndio ustaarabu wetu ..hata kama ananichukia bora hanisalimu basi
 
Kwani akibadili uelekeo au kukununia, utapungukiwa vitamins gani?

Mkiachana haimanishi mnakuwa maadui lakini hiyo hali ikitokea mind your own business. Acha anune au aku block tu.
Sawa mkuu
 
Mapenzi sio uadui, hakuna haja ya kununiana, maana maisha haya ni yakupita ,nikuombeana ili wte tufike mbinguni salama
Kwela sababu tukichukiana kweli hata tutazikana
 
Wanafanya hivyo wana maana yao
Mkichekeana chekeana na ex lazima mwisho wa siku mtakutana kimwili tu
Me nampongeza huyo dada
 
Wanafanya hivyo wana maana yao
Mkichekeana chekeana na ex lazima mwisho wa siku mtakutana kimwili tu
Me nampongeza huyo dada
Kama nikitaka kumrudia na kumla ni rahisi sana kigezo cha uadui sio kinga kabisa
 
Tumia akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…