wanawake msiovaa vyu$%%% vyenu mnatutafuta ubaaya jamani

jamani hamjui maana ya demokrasia ya mavazi?ndiyo hiyo basi,mbona wakaka mnatembea na singlet huku bush garden ikwa wazi?mnawakwaza sana ipo siku mtabakwa,au kuna wanaovaa bukta ndani bila kufuli na jinsi au suruali ya kubana mzigo unaonekana kabisa hasa ukiona g string au chachandu kwa mbali,basi nasi tiacheni
 
Kuna mmoja aliwahi kupita pale PPF tower mida ya mchana hivi! Upepo ulimfanyia kitu mbaya nadhani baada ya pale alipitia madukani kununua hizo 'kufuli' za kutosha tu!
Yah mkuu,nalijua lile eneo PPF T linawaumbuaga sana wadada.
 
Unawezaje kugundua mwanamke hajavaa chu'pi kwa kumwangalia tu? Mimi mwenzenu mgeni hapa mjini, nimetokea Kilosa juzi juzi, namba mnishaidie! 🙂
 
pale PPF ni noma kuna dada mmoja alipigwa upepo halafu alikuwa na paja nyeupe kama theluji
 
mkuu umeuelewa vibaya
maana yake ni kwamba, dhambi ya uzinifu inakuja kwa sababu ya matamanio ya uzinzi, yaani umemwangalia mwanamke hata kutamani kuzini naye, hapo roho yako inakuwa imezini na mwanamke yule,

tambua kuwa mwili hukamilisha kile ambacho roho na nafsi yako, vimekwisha tenda, na wenyewe hudhihirisha kwa vitendo, maana hata mtu huwezi kuiba ama kuzini ama kuua pasi na kuwaza hayo
moyoni mwako na kisha kuyadhihirisha kwa vitendo.
 
Huu ni wakati wa utandawazi!!, Pia na Joto, linaongeza ma fangas bwana!
Kitu ni kuwa dada zetu wawe waangalifu wakivaa hivyo, ndani muwe na kamisi!!!
 

Baadhi yetu wanapenda mtikisikiko wa makalio kuonekana kajaliwa au kutega watu, kuna kusahau muda mwingine,wengine walianza pole pole kutovaa na sasa wameshazoea pia wengine kuvaa vikamba ambayo si rahisi mtu akajua umevaa pichu..
Sasa jamani Pdidy mtu ashindwe kuvaa hadi vile vikamba(g-string)ataweza kuvaa bukta opps! boksa ya mumewe/mpz?!
 
wanawake wa cku hizi bwana tabu kweli ukienda naye kum.......a unakutana na isuue kwanza alafu ndo unaikuta chupi humo
 
.......Huna haya wala huoni vibaya, kama mwanamke si mtu ni kiumbe na wewe basi ni kiumbe.Maana ulibebwa na mwanamke miezi 9 tumboni, na baada ya hapo alikuleta hapa duniani.
.

Pretty na Wanazi wenzako acheni hasira muutazame ukweli kama ulivyo msilete ushabiki. Kama mwanamke sio chombo cha starehe cha mwanaume nini mnahangaiko kila siku kujipamba na kujikwatua tena wakati mwingine kwa maumivu ili mpate kuwavutia wanaume. Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko; nitausema ukweli hata kama ni mchungu. WANAWAKE NI CHOMBO CHA STAREHA
 

Sasa na hawa wayafanyayo hayo yoote na wapo ndani ya ndoa unawaongeleaje?

Kina dada humu ndani; wewe ni mke wa mtu lakini ndo nguo za kubana mwili mtindo mmoja kila sehemu; na ndo hizo zinavaliwa vyu.pi vya kamba ma bila bila kabisa; KWA AJILI YA NINI NA NANI?
 
HApana wajameni wanavyaa VYUPI sema hizi BIKINI zao zinafunika ikulu alafu kule banada la UANI inasetiriwa na KIKAMBA tu kwa hiyo lazi utaona hajavaa chupi. ebu jaribu kumvua mmoja wapo utaona mambo
..Mkuu kuna siku tumepanda kipanya na mdada mmoja akawa amevaa suruali ya jeans na hivyo vichupi vyao halafu ndio mambo yale ya kata "K" kibikini kiko wazi mafiga yote nje halafu ndio tumejipinda panya imekula nyomi mdada yuko mbele yangu ametegesha mzigo karibu kabisa na pua yangu nikawa naomba tu asije kutoa mlipuko itakuwa shida........ila geji ilipanda nikajikausha tu mtoto wa kiume!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…