mimi nawaunga mkono wasivae...
1.kwanza joto laweza sababisha vipele
sehemu nyeti,
2.pili si utamaduni wa waafrika.
3.mitikisiko ya pwani nayo ina
changamsha jiji,ina raha yake.
4.kila mwanamke ana assets zake
za kuringishia,wengine sura,wengine nywele,
na wengine ndo hivyo tena mitikisiko ya pwani.
5,wanaonesha kwa nini Daresalaam inaitwa jiji na sio kijiji.
6.wanawake ni burudani,so wanathibitisha hilo.
Ina maana mwanamke ni collection of assets tu basi. Yaani mkuu wewe unapenda sana ngono too much!!!!!!!!!!
With jeans iko poa lakini dress,skirt au light trousers hapana! Leaves little to imagination! ANd Imagination is the best aphrodisiac
then ule usemi kwenye maandiko
amwangaliaye mwanamke amezini inakuwaje,...nahhisi kila mtu adi watoto
watakuwa wanazini maana wengine wa miaka 8/9 ndio wa kwanza kukushtua baba angalia
kule kule nini,..kuleeeeeeeee eeeeee sasa na haka kanazini ama??msaada jamani