Easymutant
R I P
- Jun 3, 2010
- 2,564
- 1,133
mke kamtuma shogake amtest mumewe km ni mwaminifu. Mume alipostukia ni mtego akajiingiza line wakabadili hotel ambayo mkewe na shost walitaka wende akazma na cm za wote akalamba. Mke anahaha hajui wapo wapi. Shost wake kanogewa anataka tena!
If you are going through hell, keep going.
Huenda haijui hiyo Jehannam.
Huenda haijui hiyo Jehannam.
Kwa iman(moyo) yangu naijua.we unaijua?
mmmhhhh kwakweli
since lini simba anamtuma chui akawinde..??
halafu alete nyama nyumbani....
acheni utani eti.....
Kawaida tu hiyo. Dawa ya moto ni mot
Utani hakuna!
Kwa iman(moyo) yangu naijua.
mke kamtuma shogake amtest mumewe km ni mwaminifu. Mume alipostukia ni mtego akajiingiza line wakabadili hotel ambayo mkewe na shost walitaka wende akazma na cm za wote akalamba. Mke anahaha hajui wapo wapi. Shost wake kanogewa anataka tena!
mmmhh ngoja na mie nijaribu hiyo siku moja
labda itafanya kazi..
halafu nta mtuma rafiki yangu..
aliejazia ma hips, mguu chupa ya bia..
sura inateleza ka mlendaa
ameumbika kuliko Ry C...
asante sana kwa kunifundisha kitu mwaka huu..............