Wanawake na sisi tuache kugawa uroda kwa kila mtu, tuwachunguze kwanza
Basi mnauwezo wa kumwambia atumie zana ila tatizo mkisha lala kwenye 6/6 mnakuwa kama mmelogwa mnaishiwa nguvu hata kukataa hamuwezi
Kudadadeki Duh! Yaani ningemwona huyo mwanamke ningemtandika viboko 6 hadi nane vya nguvu
wanaume tuache kuwapa mimba na kuwakimbia