Wanawake Mungu anawaona...

Mr pianoman

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2019
Posts
2,595
Reaction score
6,264
Wanawake kwanini mnajiumiza na kujitesa hivi? Hii yote ili mgundue nini kwa mfano?

Wanawake mtafika mbinguni mmechoka sana.

Your browser is not able to display this video.
 
Nimejikuta nacheka daah kuna watu na viatu.

Anyway kwa sababu yenu mnapenda chuchu saa sita mfano uwoya hapo keshanyonyesha kitu wala hakijambembea sana kumbe kaenda kwenye hayo machuma vidume kutwa kumsifia. Kina chuchunge kutwa kuibuka na shepu mpya mpya basi wananzego wanasifia pisi kali.
 
All because, of Men have high libido but girls suffer with loss of Libido
 
Tajeni bei nimpe ushauri Zu wangu
 
Kwa hiyo pisi zinawekeza kujitengeneza ili zije kupiga mpunga mrefu kwa wanaume........dah! Mambo yanaenda kasi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…