Nyanda Banka
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 304
- 1,054
Mbona Muhusika zwa tukio Amechoka pia??Pichani ni wazazi wakiwa wamehudhuria mahafali ya kijana wao aliyehitimu mafunzo ya jeshi. Unaweza kuona namna wazazi walivyochakaa kwa kumpigania kijana wao afikie ndoto zake pengine wameuza hata ardhi zao na mifugo, fikiria mama kavaa raba za kamba zimechakaa hatari kwa kulima.
Cha kusikitisha kijana anakuja kupata mke slay queen mweupe mwenye mzigo mkubwa anamwambia CHAGUA KATI YANGU AU WAZAZI WAKO😭😭😭
Aisee amna laana mbaya kama hiyo
Mwanaume tafakari unavyoishi na familia yako leo walezi wako unawaenzi vipi?
Chukua hatuaView attachment 3139894
Ila kwa kijsna wa sasa hv, somewhat watoto wako vzr, wajengee Marshall lakini usitegemee msaada wa kiuchumi kutoka kwao,Pichani ni wazazi wakiwa wamehudhuria mahafali ya kijana wao aliyehitimu mafunzo ya jeshi. Unaweza kuona namna wazazi walivyochakaa kwa kumpigania kijana wao afikie ndoto zake pengine wameuza hata ardhi zao na mifugo, fikiria mama kavaa raba za kamba zimechakaa hatari kwa kulima.
Cha kusikitisha kijana anakuja kupata mke slay queen mweupe mwenye mzigo mkubwa anamwambia CHAGUA KATI YANGU AU WAZAZI WAKO😭😭😭
Aisee amna laana mbaya kama hiyo
Mwanaume tafakari unavyoishi na familia yako leo walezi wako unawaenzi vipi?
Chukua hatuaView attachment 3139894
Wanawake tumeingiaje hapo tena 😅Pichani ni wazazi wakiwa wamehudhuria mahafali ya kijana wao aliyehitimu mafunzo ya jeshi. Unaweza kuona namna wazazi walivyochakaa kwa kumpigania kijana wao afikie ndoto zake pengine wameuza hata ardhi zao na mifugo, fikiria mama kavaa raba za kamba zimechakaa hatari kwa kulima.
Cha kusikitisha kijana anakuja kupata mke slay queen mweupe mwenye mzigo mkubwa anamwambia CHAGUA KATI YANGU AU WAZAZI WAKO😭😭😭
Aisee amna laana mbaya kama hiyo
Mwanaume tafakari unavyoishi na familia yako leo walezi wako unawaenzi vipi?
Chukua hatuaView attachment 3139894
Very sad indeed, , , , tatizo inakuwaga nyege aseeehPichani ni wazazi wakiwa wamehudhuria mahafali ya kijana wao aliyehitimu mafunzo ya jeshi. Unaweza kuona namna wazazi walivyochakaa kwa kumpigania kijana wao afikie ndoto zake pengine wameuza hata ardhi zao na mifugo, fikiria mama kavaa raba za kamba zimechakaa hatari kwa kulima.
Cha kusikitisha kijana anakuja kupata mke slay queen mweupe mwenye mzigo mkubwa anamwambia CHAGUA KATI YANGU AU WAZAZI WAKO😭😭😭
Aisee amna laana mbaya kama hiyo
Mwanaume tafakari unavyoishi na familia yako leo walezi wako unawaenzi vipi?
Chukua hatuaView attachment 3139894