Wanawake muwe na huruma kidogo, mmezidisha sana vitendo vya ukatili wa kijinsia

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Wanaume wanalia, nyumba chungu haikaliki, hawakupigi (Ni wachache ndio hupiga wanaume) lakini cha mtema kuni hukiona.
Wananyumwa unyumba, wananuniwa, wanasimangwa, wanafyonzwa, wanajibiwa majibu ya shombo na kero nyingi mno kutoka kwa wanawake.
Wanaume hawana pa kusemea, wamejikuta wakitafuta furaha kwenye pombe na nyumba ndogo, ambako huko hupoteza kiasi kikubwa cha fedha.
Wanawake wanyenyekevu wamekuwa bidhaa adimu sana.
 
Wapo wengi sana
 

Attachments

  • IMG-20210228-WA0056.jpg
    72.2 KB · Views: 2
Mmekuwaje sijui siku hizi aaaagggggrrrrr!!

Jando lirudi tu kwakweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…