Wanawake, mwanaume anayekutongoza kakudharau

Wanawake, mwanaume anayekutongoza kakudharau

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Wanaume kamwe hawatongozi wanawake wenye status kubwa kuliko wao. Ndiyo maana huku kitaa wadada wakali sana huwa hawaolewi, ni kwasababu wanaogopwa na kila mwanaume.

Lkn hawa wenye sura kama wako msibani ndiyo hutongozwa na kila mwanaume. Kwasababu kila mwanaume anamuona mwanamke wa namna hii kuwa anammudu.

N.B. Anayekuheshimu haji kukutongoza moja kwa moja, bali hutuma mtu.
 
Wanaume kamwe hawatongozi wanawake wenye status kubwa kuliko wao. Ndiyo maana huku kitaa wadada wakali sana huwa hawaolewi, ni kwasabb wanaogopa na kila mwanaume.

Lkn hawa wenye sura kama wako msibani ndiyo hutongozwa na kila mwanaume. Kwasabb kila mwanaume anamuona mwanamke wa namna hii kuwa anammudu.

N.B. Anayekuheshimu haji kukutongoza moja kwa moja, bali hutuma mtu.
sio kweli, afu punguza uoga.
 
Wanaume kamwe hawatongozi wanawake wenye status kubwa kuliko wao. Ndiyo maana huku kitaa wadada wakali sana huwa hawaolewi, ni kwasabb wanaogopa na kila mwanaume.

Lkn hawa wenye sura kama wako msibani ndiyo hutongozwa na kila mwanaume. Kwasabb kila mwanaume anamuona mwanamke wa namna hii kuwa anammudu.

N.B. Anayekuheshimu haji kukutongoza moja kwa moja, bali hutuma mtu.
Sio kweli
 
Ndugu mtoa mada sijakuelewa mwanamke mwenye status au mrembo?

Kama umezoea wanawake wa class flani ndio itakuwa chaguo lako, kama umezoea kutoka na beki 3 ndio itakuwa level yako hio.

Wanawake wazuri wapo kwenye kila level ya maisha, kuanzia uswahilini mitaani hadi upper class kwa matajiri.

Halafu its not about kudharauliana, ukiingia Yard ya magari ukaikuta Lamborghini unaweza hata ukaipita usiulize ni bei gani, ni kwa sababu sio levels zako, utaulizia bei za ist na crown.. haimaanishi umeidharau crown lakini ndio uwezo wako... Gari unayoweza kuimudu matengenezo na running cost..
 
Wanaume kamwe hawatongozi wanawake wenye status kubwa kuliko wao. Ndiyo maana huku kitaa wadada wakali sana huwa hawaolewi, ni kwasabb wanaogopa na kila mwanaume.

Lkn hawa wenye sura kama wako msibani ndiyo hutongozwa na kila mwanaume. Kwasabb kila mwanaume anamuona mwanamke wa namna hii kuwa anammudu.

N.B. Anayekuheshimu haji kukutongoza moja kwa moja, bali hutuma mtu.
Kijana umesema uko wapi?
 
Wanaume kamwe hawatongozi wanawake wenye status kubwa kuliko wao. Ndiyo maana huku kitaa wadada wakali sana huwa hawaolewi, ni kwasabb wanaogopa na kila mwanaume.

Lkn hawa wenye sura kama wako msibani ndiyo hutongozwa na kila mwanaume. Kwasabb kila mwanaume anamuona mwanamke wa namna hii kuwa anammudu.

N.B. Anayekuheshimu haji kukutongoza moja kwa moja, bali hutuma mtu.

Ume wrong number :
Waislam wanamtambua Nabii Issa (Yesu) kama Nabii na wanamtukuza Maryam (Marry) kama mama aliyepata mimba kwa miujiza ya Mungu. Soma Quran kuna sura ( chapter kamili) ya Maryam (Mary). Waislam wanavikubali vitabu viliyo tangulia Zaburi ya Daudi, Tairat ya Musa, Injili ya Isa( Yesu),


Hao wateule wenu Wayahudi wanamkana Yesu na kumuita mwanaharamu na kumdhalilisha Mary( Maryam) kama Malaya na hawaukubali ukirsto na vitabu vyake.
 
Back
Top Bottom