Yeye kuna kazi ni mvivu kufanya lakini kuna kazi anafanya na ambazo mimi siwezi kufanya. Hiyo ya kufua nimeshajipangia ni kazi yangu. Kwa mfano ananishave wakati mimi siwezi kumfanyia the same!
With time utajua kuwa huyo unayeishi naye ni mume au mwanaume wa kukuridhisha kimwili, only then will you know whether ur altitude is right or wrong.nimegundua hili ni tatizo la wanawake wengi,wanakuwa kwenye mahusiano kimachale machale saa yoyote mumewe anaweza kuwa na nyumba ndogo.....hofu hii imepelekea kuwafanya kuwa watumwa wa ndoa zao,atajitahidi amtreat mumewe kama mfalme/bossi lol,atamfulia,atamnyooshea nguo,atajitahidi awe anaamka mapema amtengenezee chai.........akihofia asipofanya haya mumewe ataenda nyumba ndogo.............................wakina kaka kuweni rensponsible kidogo...chochote unachoona kiko kny uwezo wako kifanye!!!.........................usitafute kisingizio cha kuwa lazy ili uvunje nyumba yako.............ukimwi unaua,sijui niko too westernized ila bado sijamfulia na kunyooshea mtu mzima nguo:smash::smash::smash: hata kupika nitajitahidi kumshirikisha na yeye alternative days...lol
Watu siku zote huwa nawaambia matatizo kwenye ndoa yanatofautiana mtu akiishasikia fulani ana tatizo kwenye ndoa yake basi unaanza kusikia anasema "Kama ndio hivyo mimi kuolewa sitaki kusikia" watu hawataki kujifunza wanataka mambo easy na mteremko ndoa sio gereza kama ukijua ni nini unapaswa kufanya kwenye ndoa yako basi hautaanza kuwa na wasiwasi kuoa/kuolewa cha msingi ni kumuomba Mungu tu lolote litakalotokea mbele yako kabiliana nalo na mshirikishe Mungu kwenye kila jambo mkiwa kama wanandoa.ukiingia jf kila siku unaweza usioe au kuolewa
ndoa humu zoinaonekana nguuumu mno
nimegundua hili ni tatizo la wanawake wengi,wanakuwa kwenye mahusiano kimachale machale saa yoyote mumewe anaweza kuwa na nyumba ndogo.....hofu hii imepelekea kuwafanya kuwa watumwa wa ndoa zao,atajitahidi amtreat mumewe kama mfalme/bossi lol,atamfulia,atamnyooshea nguo,atajitahidi awe anaamka mapema amtengenezee chai.........akihofia asipofanya haya mumewe ataenda nyumba ndogo.............................wakina kaka kuweni rensponsible kidogo...chochote unachoona kiko kny uwezo wako kifanye!!!.........................usitafute kisingizio cha kuwa lazy ili uvunje nyumba yako.............ukimwi unaua,sijui niko too westernized ila bado sijamfulia na kunyooshea mtu mzima nguo:smash::smash::smash: hata kupika nitajitahidi kumshirikisha na yeye alternative days...lol
Samahani dada,kwani boxers na chupi hazifuliwi na mashine?...au mapenzi?Mume wangu ni smart sana, kwa hiyo sijawahi kumyooshea nguo kwani anaona yeye hiyo kazi anaiweza zaidi. Lakini kufua nafua. Tuna washing machine nguo zinafuliwa na machine. boxers zake nafua kwa mikono yangu na wala sioni kama ni kuonewa kwa kuwa NAMPENDA kupita maelezo!
Inategemea uko kwenye stage gani ya ndoa. Kwani nakumbuka nilipoolewa nilienda kwa wakwe zangu. Wakati nimekaa nje nafua mume wangu akaja kunisaidia imagine mbele ya mama na bibi yake! Bibi akasema unabahati umepata mume anayekujali.
But with time aliacha kufua na mimi mwenyewe nguo zangu na zake nafua kwa nadra sana kwani tuna H/girl na machine. Ila chupi namfulia na nitaendelea kufanya hivyo.
Hivi kwa Tz kuna kazi gani mpaka mtu utake mume nae akusaidie. Kwa sababu unaweza kuwa na mahouse girl hata wawili sasa sioni kwa nini umpigishe deki mtoto wa mwenzio.
Hao wanaokaa ulaya waache wasaidiane kwani najua mziki wa kuishi nje hamna cha housegirl kwa hiyo msaada ni muhimu.
Kwa kweli mwanajamiione nakupongeza sana kwa ujumbe mzuri na wenye kujenga. Kwa wanawake wote walio ktk maisha ya ndoa na wenye kujua maana ya familia ujumbe huu ni ufunuo kwenu. Mmeelezwa vizuri ipasavyo kuenenda kimwili na kiroho. God Bless you Mwanajamiione.........................Paulune ni kweli usemayo lakini wengi tunasahau kuwa ndoa hujengwa na upendo, heshima na trust. Kumpenda, kumheshimu na kumtrust si utumwa hata kidogo. Wengi tunasahau kuwa kama ni wa kucheat atacheat tu hata ukiwa unambeba mgongoni kila siku........but kuna sababu zinazomsaidia kuongeza hamu yake ya kucheat..ukimpatia hizo sababu ah nyumba ndogo unaikaribisha mwenyewe.Mumeo ukimpenda..........utamfulia kwa kuwa unampenda na si kwa kuwa u mtumwa au unaogopa nyumba ndogo!Utamnyooshea kwa kuwa unampenda na usingependa asiwe smart huko barabarani, maofisini na mtaani kwa ujumlaUkimpenda mumeo hutoona karaha kumfanyia kile ambacho unahisi unajisikia kumfanyia.lakini kubwa zaidi ni kwa wewe kumtrust na kujijengea kujiamini kwa kuwa unajijua kuwa unaplay role yako kama mke mwema na bora bila kusahau kumkabidhi kwa sala kila siku iitwayo leo.
Pauline hujapata bado mtu unayempenda kwa dhati acha kufua,kupika na kumpigia pasi utafanya vitu hata hujawaza maishani lol! Mimi kuna msichana alinipenda alikuwa anakuja kwangu na kufanya vyote hivyo na kuninunulia nguo,viatu perfumes hadi chupi hahaha!
mnh kwani kimada na nyumba kubwa ni mtu mmoja?
Kazi kweli kweliNaona nimeparamia post ya watu si unajua ugeni tena. Ila na sisi vimada tunafua Paulina . Ndicho nilichotaka kukwambia sasa sijujajua kutumia JF vizuri.
Good point sister,Mi sioni shida kumuhudumia atakaekuwa mume wangu, ili mradi ananipenda na kunithamini, ananitunza tunatunzana, tena nitamfanyia kwa moyo mmoja kama navoona wakubwa zangu wameolewa na wanawafanyia waume zao kama maagizo yanavosema......mwanaume abaki kuwa mwanaume tu, na sitafanya haya kwa hofu ya kuibiwa mume bali kwa mapenzi ya dhati nitakayokuw nayo kwake
Mume wangu ni smart sana, kwa hiyo sijawahi kumyooshea nguo kwani anaona yeye hiyo kazi anaiweza zaidi. Lakini kufua nafua. Tuna washing machine nguo zinafuliwa na machine. boxers zake nafua kwa mikono yangu na wala sioni kama ni kuonewa kwa kuwa NAMPENDA kupita maelezo!
Inategemea uko kwenye stage gani ya ndoa. Kwani nakumbuka nilipoolewa nilienda kwa wakwe zangu. Wakati nimekaa nje nafua mume wangu akaja kunisaidia imagine mbele ya mama na bibi yake! Bibi akasema unabahati umepata mume anayekujali.
But with time aliacha kufua na mimi mwenyewe nguo zangu na zake nafua kwa nadra sana kwani tuna H/girl na machine. Ila chupi namfulia na nitaendelea kufanya hivyo.
Hivi kwa Tz kuna kazi gani mpaka mtu utake mume nae akusaidie. Kwa sababu unaweza kuwa na mahouse girl hata wawili sasa sioni kwa nini umpigishe deki mtoto wa mwenzio.
Hao wanaokaa ulaya waache wasaidiane kwani najua mziki wa kuishi nje hamna cha housegirl kwa hiyo msaada ni muhimu.
nimegundua hili ni tatizo la wanawake wengi,wanakuwa kwenye mahusiano kimachale machale saa yoyote mumewe anaweza kuwa na nyumba ndogo.....hofu hii imepelekea kuwafanya kuwa watumwa wa ndoa zao,atajitahidi amtreat mumewe kama mfalme/bossi lol,atamfulia,atamnyooshea nguo,atajitahidi awe anaamka mapema amtengenezee chai.........akihofia asipofanya haya mumewe ataenda nyumba ndogo.............................wakina kaka kuweni rensponsible kidogo...chochote unachoona kiko kny uwezo wako kifanye!!!.........................usitafute kisingizio cha kuwa lazy ili uvunje nyumba yako.............ukimwi unaua,sijui niko too westernized ila bado sijamfulia na kunyooshea mtu mzima nguo:smash::smash::smash: hata kupika nitajitahidi kumshirikisha na yeye alternative days...lol
Na naomba ucthubutu kuolewa na mtanzania. Utanipa hasira...nimegundua hili ni tatizo la wanawake wengi,wanakuwa kwenye mahusiano kimachale machale saa yoyote mumewe anaweza kuwa na nyumba ndogo.....hofu hii imepelekea kuwafanya kuwa watumwa wa ndoa zao,atajitahidi amtreat mumewe kama mfalme/bossi lol,atamfulia,atamnyooshea nguo,atajitahidi awe anaamka mapema amtengenezee chai.........akihofia asipofanya haya mumewe ataenda nyumba ndogo.............................wakina kaka kuweni rensponsible kidogo...chochote unachoona kiko kny uwezo wako kifanye!!!.........................usitafute kisingizio cha kuwa lazy ili uvunje nyumba yako.............ukimwi unaua,sijui niko too westernized ila bado sijamfulia na kunyooshea mtu mzima nguo:smash::smash::smash: hata kupika nitajitahidi kumshirikisha na yeye alternative days...lol
Mtakoma wenye ndoa zenu!!Poleni na hongereni..
.........................Paulune ni kweli usemayo lakini wengi tunasahau kuwa ndoa hujengwa na upendo, heshima na trust. Kumpenda, kumheshimu na kumtrust si utumwa hata kidogo. Wengi tunasahau kuwa kama ni wa kucheat atacheat tu hata ukiwa unambeba mgongoni kila siku........but kuna sababu zinazomsaidia kuongeza hamu yake ya kucheat..ukimpatia hizo sababu ah nyumba ndogo unaikaribisha mwenyewe.
Mumeo ukimpenda..........utamfulia kwa kuwa unampenda na si kwa kuwa u mtumwa au unaogopa nyumba ndogo!
Utamnyooshea kwa kuwa unampenda na usingependa asiwe smart huko barabarani, maofisini na mtaani kwa ujumla
Ukimpenda mumeo hutoona karaha kumfanyia kile ambacho unahisi unajisikia kumfanyia.
lakini kubwa zaidi ni kwa wewe kumtrust na kujijengea kujiamini kwa kuwa unajijua kuwa unaplay role yako kama mke mwema na bora bila kusahau kumkabidhi kwa sala kila siku iitwayo leo.
Wewe ni mpotoshaji, kama umekosa mtu wa kukuoa au kama umeamua kuwa single usiwavurugie wenye ndoa zao, yaani wanaopendana. Haya mawazo pauline, yanafanana na ya 'LESBIANS'. Labda na wewe ni LESBIAN. LESBIANS hawataki kusikia mahusiano kati ya mwanamke na mwanaume, watatoa hoja zao nyingi zinafanana na za kwako. Sisi ni wanaume wake zetu wanatufulia na sisi tunawafulia mara moja moja si mara nyingi sana kama wao wanavyotufanyia.