<br />Hivi kwa nini wanawake wengi hasa wa kiafrika wanaongoza kutumia ushirikina ili kurutubisha mapenzi.? Je ni kwamba hawajiamini wawapo katika mahusiano au ni kasumba waliyojijengea..? Maoni please.
Hivi kwa nini wanawake wengi hasa wa kiafrika wanaongoza kutumia ushirikina ili kurutubisha mapenzi.? Je ni kwamba hawajiamini wawapo katika mahusiano au ni kasumba waliyojijengea..? Maoni please.
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
Kuna mdada alinipulizaga nikawa haidindi,yani nikiwa na wengine hata wainyoje vp network haipandishi mnara,ila kwake nikiguswa tu kidogo mzee anasimama kama kuni kavu,ikabd nimfuate na ndugu zangu kumuamshia zengwe,kuja kukubali kunirudishia ikabidi aniite chumban kwake,akatoa kondom tuliyowai itumia na ilikua na manii ndani ila ilikua imefungwa fundo,akaifungua ila kondom ilikua na rangi ya njano,akamwaga chin af kuna maneno akayasema,basi tokea cku iyo nikawa napiga mechi dunia mzima.
Nafikiri wanaofanya hvyo huwa hawajiamini na nahisi wao wanakuwa hawajapenda kiukweli.
Sijajua wanajisikia vipi wanapojua wanapendwa kutokana na madawa wanayofanya.
Hivi dawa zozote si huwa zinaexpire?