Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,074
Wanawake kama MTU usipokuwa makini utajikuta unasingiziwa mimba za kutosha kwa mwaka mimba 6 hadi 10,ngoja ni share story fupi ya mshkaji mmoja hivi!
Aliambiwa na mwanamke mmoja hivi ana mimba yake sasa kwa vile jamaa alikuwa ana shauku sana ya kupata mtoto akakubali na kuhudumia mimba hadi mtoto akazaliwa!
Mtoto alipofikisha miaka mitano siku mtoto anaumwa na alipopelekwa hospital ikahitajika aongezewe damu sasa ikabidi baba achukuliwe vipimo ili achukuliwe damu Mara paap! Ikaonekana damu yake haiendani kabisa na mtoto ndio mziki ulipoanzia hapo!
Mimi binafsi nimeshasingiziwa mimba zaidi ya Mara tatu na wanawake tofauti na zote nimeruka mitego!
Huwa natumia mbinu tatu!
1:mwanamke akiniambia ana mimba yangu kwanza sionyeshi kustuka!lakini sikubali wala sikatai kwa sababu unaweza ukakataa kumbe ni kweli kiumbe wako,ama pia unaweza kukubali kumbe umeingia cha kike ama pia mwanamke anaweza akakwambia ana mimba kwa kukutania ili aone uta react vipi!
2:Huwa naweka sana kumbukumbu siku napo sex na mwanamke kavu kavu na nitafanya na yeye kitu Fulani ili aikumbuke vizuri hiyo siku kwani akisema ana mimba yangu basi nitaanzia kupiga hesabu siku niliposex kwa Mara ya kwanza na siku ya mwisho kusex nae ili nikimpeleka kufanya vipimo nijue mimba iliingia siku gani ili nilinganishe na zile siku zangu nilizoweka kumbukumbu
3😛iga ua garagaza mtoto akizaliwa lazima nipime DNA
Aliambiwa na mwanamke mmoja hivi ana mimba yake sasa kwa vile jamaa alikuwa ana shauku sana ya kupata mtoto akakubali na kuhudumia mimba hadi mtoto akazaliwa!
Mtoto alipofikisha miaka mitano siku mtoto anaumwa na alipopelekwa hospital ikahitajika aongezewe damu sasa ikabidi baba achukuliwe vipimo ili achukuliwe damu Mara paap! Ikaonekana damu yake haiendani kabisa na mtoto ndio mziki ulipoanzia hapo!
Mimi binafsi nimeshasingiziwa mimba zaidi ya Mara tatu na wanawake tofauti na zote nimeruka mitego!
Huwa natumia mbinu tatu!
1:mwanamke akiniambia ana mimba yangu kwanza sionyeshi kustuka!lakini sikubali wala sikatai kwa sababu unaweza ukakataa kumbe ni kweli kiumbe wako,ama pia unaweza kukubali kumbe umeingia cha kike ama pia mwanamke anaweza akakwambia ana mimba kwa kukutania ili aone uta react vipi!
2:Huwa naweka sana kumbukumbu siku napo sex na mwanamke kavu kavu na nitafanya na yeye kitu Fulani ili aikumbuke vizuri hiyo siku kwani akisema ana mimba yangu basi nitaanzia kupiga hesabu siku niliposex kwa Mara ya kwanza na siku ya mwisho kusex nae ili nikimpeleka kufanya vipimo nijue mimba iliingia siku gani ili nilinganishe na zile siku zangu nilizoweka kumbukumbu
3😛iga ua garagaza mtoto akizaliwa lazima nipime DNA