Na imani kila binadamu anaudhaifu ili likowazi nasisi wanaume ndiyo wakwanza kuwakwaza wanawake na mara nyingi mumekuwa mkiona nimakosa yakibinadamu na kulichukulia kawaida japo laweza kuwa kubwa!huwa hamjali ukubwa oila sisi mkitukosea sisi wanaume maranyingi sisi uona mumefanya kosa kubwa sisi huwa uvumilivu unakuwa mdago,na saa nyingine tunakuwa na maamzi yasiyozingatia nikosa gani mwanamke kafanya!Lakini yote huyasahau na kuendelea na upendo kwetu!!Wanawake mmejaliwa!!Nani kama mama??
Tunawapenda ila tatizo mfumo dume uwezikuubadili!wanaume na mapungufu yenu mmekosa pia upendo
Yeah kwani saa nyingine ndo inavyokuwa haki yake mpe!hakuna kama mama
asante sana kina sisi..
dahhh nimependa jinsi ulivyotumia hilo neno "sisi"
hahahhahahah lol
Nawapenda wanawake kwani siwachukii ila mnanichukuli sivyo mbona mimi nawanawake tuna socializ as usual??Karibu love you all!Khe! Kwa mara ya kwanza kumsoma KK akiwa positive kwa wanawake! Hakuna kama mama thx
Najua bila kuwa namapungufu msingejua makosa yetu!!:happy:Wanaume na mapungufu yao...
Khe! Kwa mara ya kwanza kumsoma KK akiwa positive kwa wanawake! Hakuna kama mama thx
Na imani kila binadamu anaudhaifu ili likowazi nasisi wanaume ndiyo wakwanza kuwakwaza wanawake na mara nyingi mumekuwa mkiona nimakosa yakibinadamu na kulichukulia kawaida japo laweza kuwa kubwa!huwa hamjali ukubwa oila sisi mkitukosea sisi wanaume maranyingi sisi uona mumefanya kosa kubwa sisi huwa uvumilivu unakuwa mdago,na saa nyingine tunakuwa na maamzi yasiyozingatia nikosa gani mwanamke kafanya!Lakini yote huyasahau na kuendelea na upendo kwetu!!Wanawake mmejaliwa!!Nani kama mama??
Sio bure kuna vitu kapewa usiku wa leo, amekuwa jiexpress totaly different! huyu siye KK ninaye mfahamu. lakini Big up kaka. Hakuna kama mama :israel::israel::israel:
Kuna aliye kama baba?
hakuna kama mama
asante sana kina sisi..
dahhh nimependa jinsi ulivyotumia hilo neno "sisi"
hahahhahahah lol
Kuna aliye kama baba?
Sio bure kuna vitu kapewa usiku wa leo, amekuwa jiexpress totaly different! huyu siye KK ninaye mfahamu. lakini Big up kaka. Hakuna kama mama :israel::israel::israel:
Na imani kila binadamu anaudhaifu ili likowazi nasisi wanaume ndiyo wakwanza kuwakwaza wanawake na mara nyingi mumekuwa mkiona nimakosa yakibinadamu na kulichukulia kawaida japo laweza kuwa kubwa!huwa hamjali ukubwa oila sisi mkitukosea sisi wanaume maranyingi sisi uona mumefanya kosa kubwa sisi huwa uvumilivu unakuwa mdago,na saa nyingine tunakuwa na maamzi yasiyozingatia nikosa gani mwanamke kafanya!Lakini yote huyasahau na kuendelea na upendo kwetu!!Wanawake mmejaliwa!!Nani kama mama??
Thanks KK, hakuna kama mama! Barikiwa sana mpendwa kwa kulitambua hilo.Na imani kila binadamu anaudhaifu ili likowazi nasisi wanaume ndiyo wakwanza kuwakwaza wanawake na mara nyingi mumekuwa mkiona nimakosa yakibinadamu na kulichukulia kawaida japo laweza kuwa kubwa!huwa hamjali ukubwa oila sisi mkitukosea sisi wanaume maranyingi sisi uona mumefanya kosa kubwa sisi huwa uvumilivu unakuwa mdago,na saa nyingine tunakuwa na maamzi yasiyozingatia nikosa gani mwanamke kafanya!Lakini yote huyasahau na kuendelea na upendo kwetu!!Wanawake mmejaliwa!!Nani kama mama??
We Elia, hakuna km mama (siri ya baba wa mtoto ajuaye ni mama)
KWANI UNAFIKIRI KAPEWA NINI?
K K,huyo uliyekua nae usiku wa leo mshike hivyo hivyo maana hata aina yako yauandishi seem ulikua hoi...nadhan neno mama limetumika km ngao ila ujumbe umefika!