KakaKiiza uko juu!!! hakuna kama mama, hakuna kama susy!!!
Kuna aliye kama baba?
Kabisa....ndo maana mtoto wa mtu mwingine anazaliwa na kuaminika ni wa yule mwenye mahusiano bila yeyote kuhisi sio mwenye mtoto!!!
KK aliyekufurahisha leo na aendelee kufanya hivyo!!!
Kakakiiza asante kwa kulitambua hili, and me as one of the women nasema. Nani kama mama.... Thank you on behalf of all the women that surround you. Kaka zetu wachache wanatambua hilo au umuhimu wetu kama wanawake... ndio source ya matatizo mengi tulonayo akina mama.
Kuvumilia kunatokana na kutambua ukweli kua Mwenyezi Mungu katujalia tofauti kimaumbile na ustahimilivu... tunavumilia coz we know you are the right person (and i am for you) even if you your self dont know it yet! tunavumilia coz in most cases wanaume wako sawa, ukiondoka hapo kwa vi weakness vyake vidogo basi waweza enda kumbana na bomu huko uendako... tunavumilia because we believe iko siku utaniona mimi; yani mimi as an individual.... Tukivumilia yote haya na bado unaniona sina maana ndo pale yanakushinda na unaona bora niondoke. And Kiiza naomba hapa nimnukuu R. Kelly kua "when a woman is fed up there is nothing you can do about it"
DADA aSHA, uSINIFIKILIE VIBAYA NINAPOKUANGALIA SANA USONI, NIKAMA NAKUFANANISHA VILE!
Ningependa nijue nafananishwa na nani????
Ndio babu!!!
sIKUMBUKI NILIKUON WAPI, ILA SURA YAKO INANIFANYA NIKUANGALIE SAANA yOU LOOK KIND FAMILIA aaaahh.
Majibu yenu ni haya siyokwamba nimepewa kitu!!La hasha ila kwaujumla sikuzote nimekuwa tofauti hasa kwa wanawake nanilihitaji kujua nini mawazo ya wana jf kwa wanawake nakujua umuhimu wa wanawake kwa kila mmoja na nikawezakukamilisha kazi yangu niliyokuwa naifanya!!!Sijapewa kitu labda kama mnataka kunipakitu pm!!Halafu mnaishia kusema nimepewa kitu kaama mmeona leo nimekuwa tofauti na siku zote simnajua wajibu wenu kuna neno kwenye kioo cha komputer yako limeandikwa Thanks,nakwenye simu vile vile pale mobile edition lipo bofya nijue respond yenu!
DADA aSHA, uSINIFIKILIE VIBAYA NINAPOKUANGALIA SANA USONI, NIKAMA NAKUFANANISHA VILE!
the following 4 users say thank you to kakakiiza for this useful post:
Hapo tayari usha ni kwepa, how kind of familiar.....
umenena vema mpwa
Like someone i used to see several times, sija kwepa I'm confused...
A little confusion is allowed once in a while....
Ni nani huyo aliye kama baba? Je ni mama? au mjomba? au babu?
Kwangu mimi baba ni baba na hakuna kama baba
Na mama ni mama na hakuna kama mama!
Jibu swali sasa, huyo aliye kama baba ni nani?
Yeyote anaeweza kupewa jukumu la kua baba!