KakaKiiza JF-Expert Member Joined Feb 16, 2010 Posts 11,794 Reaction score 9,075 May 6, 2011 Thread starter #61 Dena Amsi said: Siamini macho yangu KK ni wewe au kuna mtu kaiba avatar oh sory password yako? Leo umekuwa positive na wanawake? Hongera sana Click to expand... Nina ofa yako DA please sema niingie pm??
Dena Amsi said: Siamini macho yangu KK ni wewe au kuna mtu kaiba avatar oh sory password yako? Leo umekuwa positive na wanawake? Hongera sana Click to expand... Nina ofa yako DA please sema niingie pm??
KakaKiiza JF-Expert Member Joined Feb 16, 2010 Posts 11,794 Reaction score 9,075 May 6, 2011 Thread starter #62 Eng. Smasher said: Mmmhh! Oky hongereni wamama wa JF!!! Click to expand... Kwani wewe mdada??
nnunu JF-Expert Member Joined Mar 4, 2011 Posts 654 Reaction score 230 May 6, 2011 #63 WiseLady said: Khe! Kwa mara ya kwanza kumsoma KK akiwa positive kwa wanawake! Hakuna kama mama thx Click to expand... NI kweli leo kaamua kuwa fagilia waMama baada ya kuwaponda kwa muda mrefu, SAFI SANA KAKA KIIZA.....lol
WiseLady said: Khe! Kwa mara ya kwanza kumsoma KK akiwa positive kwa wanawake! Hakuna kama mama thx Click to expand... NI kweli leo kaamua kuwa fagilia waMama baada ya kuwaponda kwa muda mrefu, SAFI SANA KAKA KIIZA.....lol
KakaKiiza JF-Expert Member Joined Feb 16, 2010 Posts 11,794 Reaction score 9,075 May 6, 2011 Thread starter #64 Nitakuwa via Mobile wadada wamama wabibi nyote ni mamazangu sibagui ila kama unafurahishwa kuwa namimi ijumaa hii napatikana vurumsha li pm useme ukowapi nusudakika nitakuwa hapo !!Weekend njema love you all find me via mobile!!Tcio ladys!!
Nitakuwa via Mobile wadada wamama wabibi nyote ni mamazangu sibagui ila kama unafurahishwa kuwa namimi ijumaa hii napatikana vurumsha li pm useme ukowapi nusudakika nitakuwa hapo !!Weekend njema love you all find me via mobile!!Tcio ladys!!
Dena Amsi R I P Joined Aug 17, 2010 Posts 13,080 Reaction score 4,273 May 6, 2011 #65 KakaKiiza said: Nina ofa yako DA please sema niingie pm?? Click to expand... <br /> <br /> Kindly do...
KakaKiiza said: Nina ofa yako DA please sema niingie pm?? Click to expand... <br /> <br /> Kindly do...
Gaga JF-Expert Member Joined Jan 6, 2011 Posts 4,558 Reaction score 1,970 May 7, 2011 #66 na mwanamke akibadili kibao anakuwa mbaya mara kumi ya huyo mwanaume. Wanaume huwa wanalianzisha mara nyingi
na mwanamke akibadili kibao anakuwa mbaya mara kumi ya huyo mwanaume. Wanaume huwa wanalianzisha mara nyingi