Wanawake na maradhi ya urembo inasikitisha sana

Hata mimi nimekuwa naaminishwa kuwa waafrika pekee ndio wanapenda vitu artificial...kuna siku nimeenda kwenye duka moja popular kununua wigi nikashangaa mama wa kizungu yuko busy kuchagua; wazungu wengi wana nywele mbaya, wengine ni za kuhesabu ...wenye nywele nzuri ni Latin Americans.
 
Tatizo la Tz bado hatujawa na professionals wa urembo. Unakuta salon nzuri huduma zero; mengine ni kujifanyia mwenyewe; unaingia you tube unajifunza.

 
Mbona mi siwekagi hayo ma kope na nywele zangu kama Amber Rose lakin mupenz kazimika kaoza kwa vitu natural,bado kina Sepetu,,uwoya
 

Vipi Umekuja kupunguza stress huku maana kule watu wana hasiraa utafikir wameibiwa wake zao lol
 
Nampa pole sana huyo dada. Lakini pia akina pia liwe fundisho kwa wengine. Ni kweli kwa akina dada wengi urembo sasa ni maradhi.
 
Mambo mengine ni kujitakia kwani ni lazima kubandika hayo makolokocho? Pole yake lakini.......hujafa hujaumbika natumaini itakuwa ni fundisho kwa wengine (UZURI NI JINSI ULIVYO VIPODOZI MBWEMBWE TU)
 
Inasikitisha sana. Hizi fani watu huzisomea, wengine wanafikiri ni mchezo mchezo tu.
 
Kwanza unajua maana ya BL? ni vigumu sana kwangu kuielezea hapa. Ila kama kuna mwana MMU yoyote anaeijua basi kwaniaba yangu ningependa akuelezee what is BL waxing.

Bikini Line Waxing........mbona kitu cha kawaida sana......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…