Mimi kama sitaki ndugu wa mume wangu waje na wangu wasije tuwasidie wakiwa mbali lakini hii ya kuleta wa kwako wa mwenzako unakataa siyo vizuri, unatafuta maneno mwenyewe.
Ndo suluhu hiyo......alternativeni matatizo tu hata ukileta dhahabu ndo iwe kitafunwa watasema wanataka copper.....ukileta watakuambia ya wapi........?????Ukijibu utasikia huko wachawi......bora silver
Kama vipi mkae wenyewe na ma kid wenu baaaasii........na wasaidizi wawili uwajali kama ndugu inatosha...watakuheshimu na wala hutojuta na watoto wako wataenjoy sana kuliko kununiwa na mtu kisa umekuta anaangalia katuni wakati wa taarifa ya habari ukamuambia muangalie hiyo NEWS kwanza
Sio wote ni baadhi yao tu,, kuna wanawake wengne wanapenda sana ndugu wa upand wa mwanaume eeeh na kuna wengne hawatak kabisa kusikia ndugu upand wa mwanaume utakuta mfano akija kutembelea pale ndugu wa mwanaume atawapikia dagaa mpaka wakome,,ila wakija ndugu zake ni mwendo wa kuwalisha vyuku kwa kwenda mbele..'
kiukweli maranyingi ndugu wa mume wanajidaigi wanahaki na wanamamlaka juu ya mali (zenu) ambapo wao wanaamini ni za ndugu yao, kuepusha shari ndugu wa pande zote wakae kwao muwasaidie wakiwa huko huko, HERI UKAE NA MTU BAKI KULIKO NDUGU.
inategemea na tabia ya ndugu...
mwingine akija kwako anajifanya yeye ndo mwenye nyumba....
hafuati taratibu za nyumba husika...
ukimuelekeza maneno yatasambazwa ukoo mzima kuwa mke mbaya..
na upate mwanaume mashkolamageni atasikiliza ndugu zake.....
ukija kushtuka hakununuliwi kitu ndani mapaka adiscuss na nduguze,..............
mkipanga anaenda kutaarifu nduguze wanapangua......................
au unakuta ndugu hashiriki kazi hata moja ..............
anataka mpaka maji ya kuchambia atengewe...................
nani anataka hizi kero........
ingawa kuna ndugu wachache wastaarabu
hadi wakiaga unatamani warudi........................
na pia kuna wanawake wachoyo....na watata hawa wakiona wageni/ndugu wa mume wanuna...........................
solution ikiwezekana ndugu wote wawe wa mke au mume wasaidiwe huko huko walipo.............
maana undugu lawama..............
Mi nawachukia wakiwa hawaondoki